A grave dereliction of duty!

A grave dereliction of duty!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,106
Reaction score
136,785
Mods niacheni niteme nyongo dhidi ya huyu mtu….

Wewe Samia hufai kabisa na hizi siku tatu za machafuko ndo zimethibitisha hilo.

Kikatiba kwa sasa wewe ndiye kiongozi wa nchi lakini kiuhalisia wewe ni li sanamu tu lisilo na chochote cha maana ndani yake.

Siku ya tatu nchi inaungua na watu wanapoteza maisha lakini wewe kwa upumbavu wako hujasema wala kufanya chochote kujaribu kuituliza hali.

Ghafla umekuwa bubu, kiziwi, na kipofu.

Hovyo kabisa wewe mtu na you will never ever again be comfortable in this country.

Jana umemtuma huyo kibaraka wako Mkunda. Per usual, naye hana la maana la kusema. Ni pumba tu.

Na nyie CCM wote mafala tu. Nyie ndo sababu ya yote haya.

Mko kimya as if nothing is happening.

Go kick rocks with no shoes on. Stupid disrespectful bastards.

Rais, kimya!

Makamu wa Rais, kimya!

Waziri mkuu, kimya!

Naibu waziri mkuu, kimya!

Na hapo mnalipwa mishahara kwa kutumia kodi za hawa hawa wananchi maskini ambao hawawataki tena.

Samia kashindwa kabisa kuonyesha uongozi. Hata kujifanya tu kuwa anajali, nako kashindwa.

This a very grave dereliction of duty.

Go to hell and burn forever.
 
Aondoke tuu, vice president aunde transitional government itakayojumuisha wapinzani na wananchi kwa ujumla, kazi yake iwe kuita mkutano wa kitaifa ili kupata katiba mpya na uchaguzi mpya, CDF sina imani naye na jeshi liendelee kuwa neutral na kulinda mipaka yetu
 
Mods niacheni niteme nyongo dhidi ya huyu mtu….

Wewe Samia hufai kabisa na hizi siku tatu za machafuko ndo zimethibitisha hilo.

Kikatiba kwa sasa wewe ndiye kiongozi wa nchi lakini kiuhalisia wewe ni li sanamu tu lisilo na chochote cha maana ndani yake.

Siku ya tatu nchi inaungua na watu wanapoteza maisha lakini wewe kwa upumbavu wako hujasema wala kufanya chochote kujaribu kuituliza hali.

Ghafla umekuwa bubu, kiziwi, na kipofu.

Hovyo kabisa wewe mtu na you will never ever again be comfortable in this country.

Jana umemtuma huyo kibaraka wako Mkunda. Per usual, naye hana la maana la kusema. Ni pumba tu.

Na nyie CCM wote mafala tu. Nyie ndo sababu ya yote haya.

Mko kimya as if nothing is happening.

Go kick rocks with no shoes on. Stupid disrespectful bastards.

Rais, kimya!

Makamu wa Rais, kimya!

Waziri mkuu, kimya!

Naibu waziri mkuu, kimya!

Na hapo mnalipwa mishahara kwa kutumia kodi za hawa hawa wananchi maskini ambao hawawataki tena.

Samia kashindwa kabisa kuonyesha uongozi. Hata kujifanya tu kuwa anajali, nako kashindwa.

This a very grave dereliction of duty.

Go to hell and burn forever.
Samia hajajiweka pale mwenyewe. Ni CCM ndiyo ya kulaumiwa. Kufanya shangingi la darasa la saba makamu wa rais na rais. Wengi tulikuwa tunajua uwezo wake. Nasikia huko ndani kuna mkanganyiko mkubwa na hakuna mtu mwenye control ya mambo .
 
Hii kitu nimeifikiria sana yaani jibu lake hii inchi imefikia hatua inaongozwa ki Mafia yaani hakuna kiongozi anayeweza kuongea kwa kutumia hisia zake wote wanaogopa,yaani wamefungiwa ndani ya tundu labda uwe ni mpinzani
Maana yake makamu wa Rais,Waziri mkuu na wengine wote wameufyata maana wakiongea chochote kitakachokuwa tofauti na watawala basi cha moto watakipata na hii inatokana na rushwa sauti zao zimefungwa na pesa leo wanabaki kuumia moyoni tu
 
Mods niacheni niteme nyongo dhidi ya huyu mtu….

Wewe Samia hufai kabisa na hizi siku tatu za machafuko ndo zimethibitisha hilo.

Kikatiba kwa sasa wewe ndiye kiongozi wa nchi lakini kiuhalisia wewe ni li sanamu tu lisilo na chochote cha maana ndani yake.

Siku ya tatu nchi inaungua na watu wanapoteza maisha lakini wewe kwa upumbavu wako hujasema wala kufanya chochote kujaribu kuituliza hali.

Ghafla umekuwa bubu, kiziwi, na kipofu.

Hovyo kabisa wewe mtu na you will never ever again be comfortable in this country.

Jana umemtuma huyo kibaraka wako Mkunda. Per usual, naye hana la maana la kusema. Ni pumba tu.

Na nyie CCM wote mafala tu. Nyie ndo sababu ya yote haya.

Mko kimya as if nothing is happening.

Go kick rocks with no shoes on. Stupid disrespectful bastards.

Rais, kimya!

Makamu wa Rais, kimya!

Waziri mkuu, kimya!

Naibu waziri mkuu, kimya!

Na hapo mnalipwa mishahara kwa kutumia kodi za hawa hawa wananchi maskini ambao hawawataki tena.

Samia kashindwa kabisa kuonyesha uongozi. Hata kujifanya tu kuwa anajali, nako kashindwa.

This a very grave dereliction of duty.

Go to hell and burn forever.
Sasa hivi hawezi kujitokeza. Kusema lolote...anaanzaje?
 
Samia hajajiweka pale mwenyewe. Ni CCM ndiyo ya kulaumiwa. Kufanya shangingi la darasa la saba makamu wa rais na rais. Wengi tulikuwa tunajua uwezo wake. Nasikia huko ndani kuna mkanganyiko mkubwa na hakuna mtu mwenye control ya mambo .
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Samia hajajiweka pale mwenyewe. Ni CCM ndiyo ya kulaumiwa. Kufanya shangingi la darasa la saba makamu wa rais na rais. Wengi tulikuwa tunajua uwezo wake. Nasikia huko ndani kuna mkanganyiko mkubwa na hakuna mtu mwenye control ya mambo .
Nasikia wamekata umeme nchi nzima!

Haya majamaa mapumbavu sana. Kwani kukata umeme kunazuia nini?

*** them.
 
Mods niacheni niteme nyongo dhidi ya huyu mtu….

Wewe Samia hufai kabisa na hizi siku tatu za machafuko ndo zimethibitisha hilo.

Kikatiba kwa sasa wewe ndiye kiongozi wa nchi lakini kiuhalisia wewe ni li sanamu tu lisilo na chochote cha maana ndani yake.

Siku ya tatu nchi inaungua na watu wanapoteza maisha lakini wewe kwa upumbavu wako hujasema wala kufanya chochote kujaribu kuituliza hali.

Ghafla umekuwa bubu, kiziwi, na kipofu.

Hovyo kabisa wewe mtu na you will never ever again be comfortable in this country.

Jana umemtuma huyo kibaraka wako Mkunda. Per usual, naye hana la maana la kusema. Ni pumba tu.

Na nyie CCM wote mafala tu. Nyie ndo sababu ya yote haya.

Mko kimya as if nothing is happening.

Go kick rocks with no shoes on. Stupid disrespectful bastards.

Rais, kimya!

Makamu wa Rais, kimya!

Waziri mkuu, kimya!

Naibu waziri mkuu, kimya!

Na hapo mnalipwa mishahara kwa kutumia kodi za hawa hawa wananchi maskini ambao hawawataki tena.

Samia kashindwa kabisa kuonyesha uongozi. Hata kujifanya tu kuwa anajali, nako kashindwa.

This a very grave dereliction of duty.

Go to hell and burn forever.
Ukiwa ccm hata kuuliza polepole ametekwa hutakiwi akili zao zote zinakaa na mtu mmoja ambaye ni Abdul haijairishi wewe n profesa au lah!
 
Hii kitu nimeifikiria sana yaani jibu lake hii inchi imefikia hatua inaongozwa ki Mafia yaani hakuna kiongozi anayeweza kuongea kwa kutumia hisia zake wote wanaogopa,yaani wamefungiwa ndani ya tundu labda uwe ni mpinzani
Maana yake makamu wa Rais,Waziri mkuu na wengine wote wameufyata maana wakiongea chochote kitakachokuwa tofauti na watawala basi cha moto watakipata na hii inatokana na rushwa sauti zao zimefungwa na pesa leo wanabaki kuumia moyoni tu
Tundu Lissu angekuwa hajafungwa angekuwa keshatoka kuongea na wananchi.
 
Nadhani huyo mama mnamlaumu bure tu, no one ever expected an uprising by Tanzanians, this is a surprise an shocking for everyone, hata yeye hapo alipo atakua kachanganyikiwa, hajui amsklize nani.
I think afanye namna rais wetu Kibaki alivyofanya tulipokiwasha 2008, aliita viongozi wa upinzani wakakutana na kupiga picha ya pamoja na kuweka jopo la maridhiano lililobuniwa na viongozi kutoka pande zote.

Hii ni crisis that can not go away easily, needs wisdom, unawezakuta ikulu huko wanapishana kauli na kugombana wenyewe kila mtu ana suluhu lake, huyu anasema mlimwe marisasi huyu anasema muongee, yule anasema Lissue atolewe jela, yaani fulu tafrani.
Mama aamue kukaa na viongozi wa upinzani, ikiwezekana akae hadi na huyo Lisu ili taifa litawalike.
 
Tundu Lissu angekuwa hajafungwa angekuwa keshatoka kuongea na wananchi.
Hata sasa wakitaka wanaweza wamtoe ili aende atulize hali ya hewa wanaweza, ila aibu zao ndio zinawaponza kutomleta hadharani.. labda behind the carpet wanaongea naye ili aende akatulize mzuka kitaa...Kujikwaa sio kuanguka... wamlete tu, Gern Z wapoe, mambo yaende
 
Nadhani huyo mama mnamlaumu bure tu, no one ever expected an uprising by Tanzanians, this is a surprise an shocking for everyone, hata yeye hapo alipo atakua kachanganyikiwa, hajui amsklize nani.
I think afanye namna rais wetu Kibaki alivyofanya tulipokiwasha 2008, aliita viongozi wa upinzani wakakutana na kupiga picha ya pamoja na kuweka jopo la maridhiano lililobuniwa na viongozi kutoka pande zote.

Hii ni crisis that can not go away easily, needs wisdom, unawezakuta ikulu huko wanapishana kauli na kugombana wenyewe kila mtu ana suluhu lake, huyu anasema mlimwe marisasi huyu anasema muongee, yule anasema Lissue atolewe jela, yaani fulu tafrani.
Mama aamue kukaa na viongozi wa upinzani, ikiwezekana akae hadi na huyo Lisu ili taifa litawalike.
Suluhu si kukaa tu na wapinzani.

Watu wanataka kujua watu wote waliotekwa wako wapi.

Hakuna uchaguzi uliofanyika juzi. Hivyo hakuna aliyeshinda.

Mambo ni mengi kuliko kukaa tu na kuzungumza.
 
Back
Top Bottom