A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

Inasikitisha sana
 
Nini tafsiri ya waziri mkuu kuwa liwalo na liwe? liwe kufanya unyama huu? Kauli hii nini tafsiri yake, Ni muhimu Pinda awajibe kwa hili, naninawaambia watanzania HUKUMU YA MWOVU IPO HAPAHAPA DUNIANI. Damu hii haiwezi potea Bure 2
 
kaka yangu ntatiro sijui ni kwa evidence gani jamani uwe macho na wewe yasije kukukuta tukaanza kusikitikia wawili ilihali huyu mmoja bado
 
Ikulu haiwezi kujitoa kwa hili.
 
Huyo Dr Ulimboka ni msanii,kwanza yeye si mtumishi wa serikali kinachomsukuma akomae ni nini?Awaachie madaktari ambao wako serikalini wadai,yeye amdai anayemfanyia kazi.
Pia inaonekana kuwa alipoitwa kwenye hayo mazungumzo ya 'KUYAMALIZA'alienda yeye na rafiki yake.Hilo suala la mgomo ni la madaktari wote nchi nzima ilikuwaje aende yeye na huyo rafiki yake??hili suala siyo la kirafiki ni la kikazi.HAO WANAPIGA SIASA WAPATE PESA KWA MGONGO WA WENGINE.Kwa hakika inavyoonekana ni mtu anayeweza kununuliwa na akawauza wenzake.NASISITIZA HAFAI NA NDIO MAANA NAPINGA MGOMO HUU INGAWA NA MIMI NIKO IDARA HIYO HIYO.
 
Ccm inaipeleka nchi pabaya ila wajue mwisho wao ni kama mubaraka wa misri
 
Sijui Baba wa Taifa huko aliko ana hali gani??
 
Hao ndiyo watanzania ni vigumu kujua yupi anatetea wanyonge anayedai au anayedaiwa
 
Hizi conclusion ndiO huwa zinachanganya sana,( Ukiuliza source = hakuna) mpaka sasa kuna conclusion zaidi ya 3, we know some people are very good in connecting dots but we should try to be analyitical on this matter,
 
Katika hili Mtatiro Naungana nawewe Haya ni mambo ya hatari yanafanywa bila hata akili, Tumwombe Mungu Sana asife, maana linaloweza likatokea linaweza likaondoa amani kabisa na watu watapoteza maisha
 
Busara itumike zaidi. tutawale hisia zaidi. Mungu alitupa macho mawili, masikio mawili na mdomo mmoja, ili tuone mengi, tusikie mengi na tuseme machache.
"Mungu ibariki Tanganyika, Mungu ibariki Zanzibari, rip Tanzania"
 
Tunashukuru Mungu dr ulimboka anaendelea vizuri na anaweza ongea. Ukweli utapatikana tu.
 
Kumtesa Dr Ulimboka hakuwezi kumaliza mgogoro wa Madaktari. Hii ni ishara ya ukosefu wa Think tank persons ndani ya serikali na CCM. Poor Tz Government...
 
CCM A na CCM B wameanza kuumbuana. Nasubiri kauli ya CCM C ya Mbatia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…