Kama huamini kuna serikali na uwe wa kwanza kuingia barabarani wengine tutajifunza kutoka kwako
kwelio, ninewaza sana kuhusu habari Kama hii, mgonjwa wangu anifie huku doctor anaangalia....!!, lazima nitoke nae, Mabwepandee. Si waache kazi kabisa tujue moja. Kesho kutwa watakwenda dirishani kuchukua hivyo visenti vyetu sio!. Itafutwe njia mbadala. Na sio wananchi tuelendee kufa kwa mgomo wao.jamani mimi nina swali kichwani mwangu linanisumbua sana.naomba nitangazw kwanza sina upande katika hilim na kwamba walichofanya si sahii kabisa . DR ULIMBOKA POLE SANA
JAMANI NATAKA MNIAMBIE MTOTO WAKO WA KUMZAA ANAUMWA GAFLA AKAPANDISHA DEGEDEGE UMEBATIKA KUFIKA MUHIMBILI KWA SHIDA SANA NAMANISHA SANA MTOTO MACHO YAKO JUU UNAFIKA UNAKOSA UDUMA YA HALAKA KUOKOA MAISHA YA MWANAO MPENDWA ( WALIO NA WATOTO WANANIELEWA ) BAADA YA DAKIKA 16 MTOTO WAKO ANAKUFA ....
jamani mimi nina swali kichwani mwangu linanisumbua sana.naomba nitangazw kwanza sina upande katika hilim na kwamba walichofanya si sahii kabisa . DR ULIMBOKA POLE SANA
JAMANI NATAKA MNIAMBIE MTOTO WAKO WA KUMZAA ANAUMWA GAFLA AKAPANDISHA DEGEDEGE UMEBATIKA KUFIKA MUHIMBILI KWA SHIDA SANA NAMANISHA SANA MTOTO MACHO YAKO JUU UNAFIKA UNAKOSA UDUMA YA HALAKA KUOKOA MAISHA YA MWANAO MPENDWA ( WALIO NA WATOTO WANANIELEWA ) BAADA YA DAKIKA 16 MTOTO WAKO ANAKUFA .UNAFIKILI MUTU KAMA UYU ANAWAELEWA MADAKTARI WANACHOKIFANYA?..
Maundumula on duty!Sasa Chadema wameanza kutumia njia za kimafioso kueneza propaganda! au ni nini hii?
wafanye revenge kwa kujengewa zahanati zisizo na hata dawa za maumivi, ingeleta maana !nategemea mda si mrefu taarifa itatoka ikulu kuelezea kwamba wasihusishwe na unyama uliotokea...
Gazeti la uhuru la kesho litakua na kichwa cha habari kifuatacho.
"wananchi wana hasira kwa kufiwa na ndugu zao na kuamua kufanya revenge"