A confused president and a constitutional crisis!


Shukrani kwa ufafanuzi kiongozi!
 
I think its you who is comfused
 
Katiba ipo wananchi wanelewa haki zao na kujua katiba ya chama chako ni muhimu kwani democracy inaanza kwenye chama
 
Katiba ipo wananchi wanelewa haki zao na kujua katiba ya chama chako ni muhimu kwani democracy inaanza kwenye chama
There we go again! Katiba ya nchi ndo namba moja! Lasivyo nchi inaweza kuendeshwa na kundi la kigaidi au kundi lisilo na nia njema kwa Taifa bali Matumbo yao kama inavyoonekana since uhuru.

Zile nchi zote ambazo huwa mnazitaja kuwa ni vinara wa demokrasia, mfano USA, wananchi wake wanafahamu katiba ya nchi na siyo za vyama!

Kwamfano marekani, karibia kila mwananchi anafahamu katiba, especially kwenye bills of right. Ukimuuliza atakutajia karibia zote kama siyo zote
1st Amendment
Right to the freedom, religion, speech, assembly, and press and allowed to petition the government.


2nd Amendment
Right to keep and bear arms (for lawful purposes) and the right to form a militia.

3rd Amendment
Protection from quartering soldiers


4th Amendment
Protection from unreasonable search and seizure
5th Amendment
Guarantee to due process, double jeopardy, self-incrimination, eminent domain. Cannot be charged twice for the same offense.

6th Amendment
Trial by jury and rights of the accused; Confrontation Clause, speedy trial, public trial, right to counsel and right to a lawyer

7th Amendment
Right to a jury trial in federal civil court cases.

8th Amendment
Guarantees that punishments will be fair and not cruel, and that extraordinary fines will not be set.

9th Amendment
Simply a statement that other rights aside from those listed may exist, and just because they are not listed doesn't mean they can be violated.

10 Amendment
Says that any power not granted to the federal government belongs to the states. (Power reserved to the states).

Hizo ni first ten amendments AKA bills of rights! Sijawahi kukutana na mmarekani ambaye hazifahamu! Kuhusu ya chama wala sijawahi kujaribu kumuuliza mtu kwasababu hakuna anayejali hayo! Taifa kwanza, PERIOD!

Sasa wewe unafahamu nini zaidi ya kusubiri uambiwe cha kufanya?
 
I think its you who is comfused
Learn how to speak and write properly first then come back.

Then when you’re back, explain to me whatever it is you’re trying to say.
 
Hilo ni taifa lililojaa wajinga na wafu umeandika madini sana ila nisikufiche huko uliko ni taifa la wajinga na kutoka katika hiyo minyororo ni zaidi ya miaka 100 kutoka sasa
 
Hilo ni taifa lililojaa wajinga na wafu umeandika madini sana ila nisikufiche huko uliko ni taifa la wajinga na kutoka katika hiyo minyororo ni zaidi ya miaka 100 kutoka sasa
I agree, wanajifanya wanafahamu haki zao. Naskia kuna wabunge wawili kama sikosei ama viongozi wa chadema wamekamatwa kwa sababu ya kuvaa t-shirts zinazosema "Pray for Lissu". Kwasababu amri imetoka juu!

Hawafahamu maana ya utawala wa katiba hawa watu!
 
Hilo ni taifa lililojaa wajinga na wafu umeandika madini sana ila nisikufiche huko uliko ni taifa la wajinga na kutoka katika hiyo minyororo ni zaidi ya miaka 100 kutoka sasa
Mkuu ni kweli kuwa katiba yetu bado ni ya kikoloni, na kwahiyo siwezi kusgangazwa na wakoloni weusi. Katiba inampa rais mamlaka ya kubagua akiona inafaa. Katiba inakataza ubaguzi, lakini hapohapo, inasema kuwa rais anaruhusiwa kufanya hivyo kwasababu ambazo hata hivyo hazijatajwa ama kuwekwa wazi. Kwahiyo rais anaweza tu kusema huyu ni msaliti na katiba ikamlinda kumbagua huyo anayemuita msaliti.

Halafu nashangazwa sana na upinzani kwasababu hawapiganii katiba mpya, au na wao wanataka kuja kuwa kama hawa ccm? Waje wafanye everything kama hawa ccm?
 
Hiyo Jmushi pekee inatosha mkuu. Id imeshatoa majibu tayari.
 
Angalia teuzi za jiwe kaka
Waislamu wanamwangalia tu!
Bila shaka atakaa miaka yake michache iliyobaki na kisha atakwenda zake
Lakini umma utabaki!!
Nimeona uchaguzi unakaribia ndo maana. Nimeshaona thread ya jamaa anayejiita GUSSIE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…