A Bloody crown

A Bloody crown

Dadi Barnea

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2024
Posts
653
Reaction score
1,305
And a bloody headscarf too!!

The Standard newspaper (Kenya) wametutumikia Watanzania kwa moyo wa uaminifu sana. Pasipo gazeti hili, dunia isingefahamu uchafu wa Hassani.

Ni jambo la heri pia kwa Umoja wa Mataifa kuhamishia baadhi ya Ofisi zao Jijini Nairobi. Hii ni baraka iliyohitajika nyakati kama hizi. Samia Must Go.

IMG_6764.jpeg
 
Halafu wakenya naona mnajipakulia tu minyama! Ko hilo gazeti ni kubwa kuliko BBC? Yaani mmeamua kujitafutia umaarufu kupitia tukio letu? Yaani ni shida tupu mara utasikia "ohh tanzanians wametucopy" mara "ohh Tanzanians wanashika haraka" pumbavu zenu. sisi tuliandamana kwa ajili ya kulinda maslahi yetu na hii ni mara ya kwanza kuandamana kitaifa lakini sio mara ya kwanza kwa watu wa Tanzania kuandamana. Arusha walishawahi kuandamana hata kabla ya hao gen z wa kenya. Tarime walishawahi kuandamana kupinga matokeo ya uchaguzi wa ubunge hata kabla yenu gen z! Hivyo acheni kujipa umuhimu usowastahili.
 
Back
Top Bottom