Call me GHOST
Member
- Jan 18, 2019
- 53
- 95
BOOK SUMMARY: WHITE POISON
(A Black Christian is a Traitor to the Memory of his Ancestors..Africa Wake Up !)
MWANDISHI: Kayemb “Uriël” Nawej
MCHAMBUZI: Ghost Writer(
)
Tuanze kwa kumnukuu Rais wa kwanza wa KENYA Bw. Jomo Kenyatta kipindi cha uhai wake aliwahi kusema kwamba;-
"Wazungu walipokuja Barani Africa, walitukuta tuna Ardhi yenye rutuba, na wao walikuja na Biblia, Wakatufundisha kusali tukiwa tumefumba macho, na tulipofumbua macho baada ya kusali walikuwa tayari wanamiliki ardhi yetu na sisi tukapewa Biblia.."
Sasa twende mdogo mdogo tuone alikuwa anamaanisha nini
Tukirudi nyuma mpaka mwaka 1883 huko Ubelgiji Mfalme wa ubelgiji KING LEOPOLD II alitoa hotuba fupi kwenye semina ndogo iliyoandaliwa kwa lengo la kuwanoa Wamishionari kabla ya kuja Barani Africa na kati ya Mbinu waliyoitumia kuliteka Bara la Africa ilikuwa ni ASSIMILATION(Kuwafundisha Waafrica Lugha na utamaduni wa Kizungu)
Assimilation imegawanyika katika tanzu mbalimbali ikiwemo KI-DINI,-UCHUMI, -SIASA na -JAMII Hivyo wakaona ni vyema Kuanza na KIDINI( Religious Assimilation) kwa sababu ndio ingekuwa rahisi kuwarubuni waafrica na pia ingesaidia kuanzisha Mifumo hii mingine kiurahisi.
Baadhi ya mambo aliyowaeleza ni kama yafuatayo;
1. Aliwaambia wamishionari wasiwafundishe waafrica mambo ambayo tayari wanayajua kwa mfano imani kwa wakati huo tayari africa ilikuwa ina imani na walikuwa wanaabudu miungu ambayo sehemu kama Congo MUNGU alikuwa anajulikana kwa majina kadhaa wa kadhaa ikiwemo MUNDI, MUNGU(kama tunavyomuita ata sasa) na DIAKOMBA
Hivyo miongoni mwa majukumu waliyopewa hawa wamishionari ambao walikuja kama viongozi wa dini yaani PRIESTS ni kuhakikisha wanatimiza jukumu la kiutawala walilokabidhiwa toka Nchini kwao Ubelgiji.
2. Wamishionari walipewa jukumu la kuitafsiri injili kwa waafrica kwa minajiri ya kulinda na kufanikisha Malengo yao katika Bara la Africa.
3. Jukumu lingine lilikuwa kuhakikisha Waafrica wanapoteza hamasa juu ya Ardhi yao iliyojaa UTAJIRI mkubwa na yenye rutuba kwa maana bila kufanya hivo Waafrica wasingekubali kuona Wazungu wakichukua Mali zao hivyo wangepigana.
Kwahiyo kwa kuwapumbaza ilibidi wawadanganye waafrica kupitia vifungu kadhaa vya kwenye Biblia vitakavyowapa hofu
Ukisoma Mathayo 5: 3-12 utaona ni kwa namna gani wamishionari walihakikisha wanatumia elimu yao juu ya injili kuwawezesha kuwaambia waafrica kwamba ili kuurithi ufalme wa MUNGU lazima mtu uwe na Unyenyekevu n.k
Soma: (Mathayo 5:3)
"Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao.."
Na wakaenda mbali zaidi kwamba ni ngumu sana kwa MATAJIRI kuurithi UFALME wa MUNGU hivyo waafrica wengi wakawa waoga kutumia Rasirimali zao kwa kuogopa kutajirika na kwenda motoni.
4. Wamishionari walikuwa na jukumu la kuhakikisha hawawapi nafasi Waafrica Kuhoji( CRITICAL THINKING) yale yote
wanayoambiwa kupitia mafundisho ya kidini wanayopewa. Hivyo walikuwa wanafundishwa KUAMINI na sio KUHOJI
Soma: (Yohana 20:29)
"Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.."
(AMINI ata kama HUJAONA)
5. Mfalme Leopord II aliwaambia wahakikishe wake zao( wanawake wa kiafrica) wanawaamini na kuwanyenyekea kwa kuwaletea zawadi mbalimbali kama Mbuzi, kuku au Mayai kama ishara ya shukrani( GESTURE OF GRATITUDE) kila wakati wanapotembelea vijijini kwao(..na jambo hili linaendelea hadi leo..loh). Kwa kifupi waliambiwa wahakikishw waafrica hawatajiriki kwa sababu wakiruhusu watajirike hawawezi kuwa WANYENYEKEVU
6. Waliambiwa wahakikishe Waafrica wanalipa KODI kila wiki siku za makusanyiko ya JUMAPILI(..yaani Siku ya kusali ile sadaka ndio kodi..Mmmh hatari!!)
Kisha tumieni Fedha hizo kujenga Hospitali, Mashule na Makanisa kwa ajili yao ili waone tunawapenda na kuwa jali sana waendelee kupumbazika..Sisi Hao..Balaa!!!
Kisha anzisheni mfumo wa Kutubia ( CONFESSION SYSTEM) utakaowawezesha kuchunguza na kujua kama mbinu zenu mlizozitumia zinafanya kazi kwa sababu watakuwa wakikosea wanakuja kutubu(..wakienda kinyume na mafundisho ya kwenye Kitabu cha Mathayo 5: 3-12)
Baada ya wamishionari kufika Africa sana sana Kongo, Aliyekuwa kiongozi wa Makoloni ya Ubelgiji Bw. Jules Renquin mnamo mwaka 1920 aliongezea nyama nyama kwenye kile kilichokwisha semwa na King Leopold II hapo awali na kusema mambo yafuatayo:
Waafrica waambiwe kuabudu sanamu ni kumuabudu shetani hivyo inabidi waache kufanya hivo kisha wamishionari waliambiwa wachukue masanamu hayo wayapeleke kwenye majumba yao ya makumbuko(Museum) lengo kubwa likiwa kuhakikisha waafrica wanawasahau mababu(Ancestors) na utamaduni wao.
Kuwachukulia waafrica wote kama watoto wao wa kufikia..hivyo kuwafundisha wawaite FATHER(Baba)..Mfumo huu nadhani unaendelea mpaka leo Wakatoliki wanamuita kiongozi wao wa kiroho FATHER na wakristo wengine wanamuita kiongozi wao wa kiroho BABA MCHUNGAJI
Wafundisheni Mafundisho lakini nyie msiyafuate hayo mafundisho kwa sababu ni ya uongo na endapo wakiwaliza kwanini nyie hamyatendi na kuyafuata yale yote mnayoyahubiri na kuyanena muwajibu " Mnapaswa kufuata kile ninachokisema na sio kile ninachokitenda"(kauli hii inatumika sana kwa wakatoliki na wakristo wengi mpaka sasa) kwani "Heri ya wale wanaosadiki bila kuona" kama isemavyo biblia.
Maneno ya King Leopold II na Bw. Jules Renquin yamekuwa yakifuatwa kila siku na ikawa ni utamaduni kwa wanawake wa kikongo wakati huo.
Ukisoma kitabu cha ABO UNE FEMME DU CONGO (A woman of Kongo) kilichoandikwa na Ludo Martens kilichochapishwa mwaka 1995 utaona ni kwa kiasi gani mwandishi amejaribu kuzungumzia suala hili kiundani kwa mfano katika ukurasa wa 68 amezungumzia mambo kadhaa yanayoendana na haya tuliyokwisha jadili hapo awali. Alienda mbali na kusema mambo yafuatayo..
Mababu zetu walikuwa wakijitegemea na walikuwa huru kwenye nchi yao lakini wakoloni walipokuja kwa lengo la kuwatawala kijiji baada ya kijiji, waliwaletea babu zetu chumvi na samaki waliokaushwa ili kuwarubuni washirikiane nao ila walikataa. Baada ya kukataa ilibidi watumie silaha za moto(Bunduki) na kwa Muafrica yeyote alieendelea kukataa kwa aliyekutwa na Upinde au Mshale mkononi alipigwa risasi papo hapo kisha wakawalazimisha babu zetu kuwafanyia kazi ngumu na wale walioonekana ni wavivu wakawa wanauawa.
Kisha wakatuletea Wamishionari (Tuwekane sawa kidogo hapa neno Missionary limetokana na Mission-ary ikiwa na maana walikuja na Mission yao) wakiwa na lengo(Mission) la kuwarubuni waafrica ili wawafanyie kazi kwa kujitolea kiroho safi (Ndio maana wakaja na ile mbinu ya Assimilation)
Waliwachukua watoto wadogo kutoka kwa mama zao na kuwafundisha dini kwa kisingizio eti ni Yatima hivyo watoto wamekuwa wakifundishwa dini na kukua wakijua ni Yatima hivyo kuwanyenyekea wao. Hivyo mdogo mdogo wakawa wakiisambaza dini yao baina yetu.. Hii inamanisha nini!?
Wao wamekuwa wakitukataza tusipende Pesa ila tumpende M/MUNGU aliye hai kuliko pesa lakini Wao Je! Hawapendi pesa!? Kampuni zao ikiwemo The Oil Mills of Belgium Congo inaingiza mamilioni ya pesa kupitia jasho letu. Je! Kutopenda pesa ni kuukubali Utumwa kwa kupewa ujira mdogo wakati wao wananufaika zaidi!!?
Walitukataza TUSIUE(Kutoka 20:13), Je! Wao hawaui!!?.. Hapa kilamba Mwaka 1931 waliuwa zaidi ya wanakijiji 1000.
Walitukataza TUSIIBE(Kutoka 20:15), Lakini wao wameiba ardhi yetu yenye rutuba, utajiri wetu na rasilimali zetu nyingi lakini Mtu mweusi alikuwa akiiba lazima aende KUTUBU na kumwambia kila kitu Mchungaji(Priest) kisha baada ya hapo mchungaji anapeleka taarifa kwenye Uongozi wao na yule mtu anakamatwa na kuwekwa Gerezani.
Sasa leo, Unaanzaje kuwa Mkatoliki au Mkristo!?
Unawezaje kuabudu dini ya watu wale waliokutesa!?
Unawezaje kuabudu dini ya watu walio-tesa,-dhurumu,-nyanyasa,-dharirisha,-ua babu zako!?
Wakatoliki na Wakristo wote ambao ni Waafrica wote ni WASALITI kwa mababu zao walioteswa, nyanyaswa,dhurumiwa,na kuuawa na wakoloni hawa.
Ni bora ata waafrica wenzangu waabudu zingine kuliko hii ya hawa waliotunyanyasa zaidi
Unaweza kuwa mkimbagu, mbuddha, muislamu na ata kuwa muumini wa dhehebu lingine lakini sio la hawa Wakristo kwa sababu kufanya hivo ni sawa na kuwatukana Babu zetu..
Hadi leo hii tunaona kuna viongozi wakubwa wa dini hizi ambao ni Waafrica wenzetu..hii inamaanisha nini!?
Waafrica bado tunatawaliwa na tutaendelea kuwa watumwa wa kifikra kutokana na huu Ukoloni mambo leo ulioletwa na watesi wetu.
Je! wakati makanisa ya Catholic, Protestant, Adventist, Baptist na mengineyo yaanzishwa na hawa wazungu kulikuwa ata na muafrica mmoja kati yao!!? Bila shaka jibu ni HAPANA!!
Angalia leo sasa, Sio Ghana, Kongo, Angola, Cameroon na sehemu zingine zote waafrica wanaabudu dini hizi kwa maelfu na maelfu yao huku wakitumia Biblia Takatifu kama kitabu cha marejeo lakini wamesahau hii hii Biblia ndio ilikuwa ikitumika kama kitabu cha marejeo na sheria zilizotumika kuwapumbaza Babu zetu na kusahau imani zao za asili walizowakuta nazo.
Itaendelea!!
(Ghost..)
(A Black Christian is a Traitor to the Memory of his Ancestors..Africa Wake Up !)
MWANDISHI: Kayemb “Uriël” Nawej
MCHAMBUZI: Ghost Writer(
![](http://emoji.tapatalk-cdn.com/emoji317.png)
Tuanze kwa kumnukuu Rais wa kwanza wa KENYA Bw. Jomo Kenyatta kipindi cha uhai wake aliwahi kusema kwamba;-
"Wazungu walipokuja Barani Africa, walitukuta tuna Ardhi yenye rutuba, na wao walikuja na Biblia, Wakatufundisha kusali tukiwa tumefumba macho, na tulipofumbua macho baada ya kusali walikuwa tayari wanamiliki ardhi yetu na sisi tukapewa Biblia.."
Sasa twende mdogo mdogo tuone alikuwa anamaanisha nini
Tukirudi nyuma mpaka mwaka 1883 huko Ubelgiji Mfalme wa ubelgiji KING LEOPOLD II alitoa hotuba fupi kwenye semina ndogo iliyoandaliwa kwa lengo la kuwanoa Wamishionari kabla ya kuja Barani Africa na kati ya Mbinu waliyoitumia kuliteka Bara la Africa ilikuwa ni ASSIMILATION(Kuwafundisha Waafrica Lugha na utamaduni wa Kizungu)
Assimilation imegawanyika katika tanzu mbalimbali ikiwemo KI-DINI,-UCHUMI, -SIASA na -JAMII Hivyo wakaona ni vyema Kuanza na KIDINI( Religious Assimilation) kwa sababu ndio ingekuwa rahisi kuwarubuni waafrica na pia ingesaidia kuanzisha Mifumo hii mingine kiurahisi.
Baadhi ya mambo aliyowaeleza ni kama yafuatayo;
1. Aliwaambia wamishionari wasiwafundishe waafrica mambo ambayo tayari wanayajua kwa mfano imani kwa wakati huo tayari africa ilikuwa ina imani na walikuwa wanaabudu miungu ambayo sehemu kama Congo MUNGU alikuwa anajulikana kwa majina kadhaa wa kadhaa ikiwemo MUNDI, MUNGU(kama tunavyomuita ata sasa) na DIAKOMBA
Hivyo miongoni mwa majukumu waliyopewa hawa wamishionari ambao walikuja kama viongozi wa dini yaani PRIESTS ni kuhakikisha wanatimiza jukumu la kiutawala walilokabidhiwa toka Nchini kwao Ubelgiji.
2. Wamishionari walipewa jukumu la kuitafsiri injili kwa waafrica kwa minajiri ya kulinda na kufanikisha Malengo yao katika Bara la Africa.
3. Jukumu lingine lilikuwa kuhakikisha Waafrica wanapoteza hamasa juu ya Ardhi yao iliyojaa UTAJIRI mkubwa na yenye rutuba kwa maana bila kufanya hivo Waafrica wasingekubali kuona Wazungu wakichukua Mali zao hivyo wangepigana.
Kwahiyo kwa kuwapumbaza ilibidi wawadanganye waafrica kupitia vifungu kadhaa vya kwenye Biblia vitakavyowapa hofu
Ukisoma Mathayo 5: 3-12 utaona ni kwa namna gani wamishionari walihakikisha wanatumia elimu yao juu ya injili kuwawezesha kuwaambia waafrica kwamba ili kuurithi ufalme wa MUNGU lazima mtu uwe na Unyenyekevu n.k
Soma: (Mathayo 5:3)
"Heri walio maskini wa roho; Maana ufalme wa mbinguni ni wao.."
Na wakaenda mbali zaidi kwamba ni ngumu sana kwa MATAJIRI kuurithi UFALME wa MUNGU hivyo waafrica wengi wakawa waoga kutumia Rasirimali zao kwa kuogopa kutajirika na kwenda motoni.
4. Wamishionari walikuwa na jukumu la kuhakikisha hawawapi nafasi Waafrica Kuhoji( CRITICAL THINKING) yale yote
wanayoambiwa kupitia mafundisho ya kidini wanayopewa. Hivyo walikuwa wanafundishwa KUAMINI na sio KUHOJI
Soma: (Yohana 20:29)
"Yesu akamwambia, Wewe, kwa kuwa umeniona, umesadiki; wa heri wale wasioona, wakasadiki.."
(AMINI ata kama HUJAONA)
5. Mfalme Leopord II aliwaambia wahakikishe wake zao( wanawake wa kiafrica) wanawaamini na kuwanyenyekea kwa kuwaletea zawadi mbalimbali kama Mbuzi, kuku au Mayai kama ishara ya shukrani( GESTURE OF GRATITUDE) kila wakati wanapotembelea vijijini kwao(..na jambo hili linaendelea hadi leo..loh). Kwa kifupi waliambiwa wahakikishw waafrica hawatajiriki kwa sababu wakiruhusu watajirike hawawezi kuwa WANYENYEKEVU
6. Waliambiwa wahakikishe Waafrica wanalipa KODI kila wiki siku za makusanyiko ya JUMAPILI(..yaani Siku ya kusali ile sadaka ndio kodi..Mmmh hatari!!)
Kisha tumieni Fedha hizo kujenga Hospitali, Mashule na Makanisa kwa ajili yao ili waone tunawapenda na kuwa jali sana waendelee kupumbazika..Sisi Hao..Balaa!!!
Kisha anzisheni mfumo wa Kutubia ( CONFESSION SYSTEM) utakaowawezesha kuchunguza na kujua kama mbinu zenu mlizozitumia zinafanya kazi kwa sababu watakuwa wakikosea wanakuja kutubu(..wakienda kinyume na mafundisho ya kwenye Kitabu cha Mathayo 5: 3-12)
Baada ya wamishionari kufika Africa sana sana Kongo, Aliyekuwa kiongozi wa Makoloni ya Ubelgiji Bw. Jules Renquin mnamo mwaka 1920 aliongezea nyama nyama kwenye kile kilichokwisha semwa na King Leopold II hapo awali na kusema mambo yafuatayo:
Waafrica waambiwe kuabudu sanamu ni kumuabudu shetani hivyo inabidi waache kufanya hivo kisha wamishionari waliambiwa wachukue masanamu hayo wayapeleke kwenye majumba yao ya makumbuko(Museum) lengo kubwa likiwa kuhakikisha waafrica wanawasahau mababu(Ancestors) na utamaduni wao.
Kuwachukulia waafrica wote kama watoto wao wa kufikia..hivyo kuwafundisha wawaite FATHER(Baba)..Mfumo huu nadhani unaendelea mpaka leo Wakatoliki wanamuita kiongozi wao wa kiroho FATHER na wakristo wengine wanamuita kiongozi wao wa kiroho BABA MCHUNGAJI
Wafundisheni Mafundisho lakini nyie msiyafuate hayo mafundisho kwa sababu ni ya uongo na endapo wakiwaliza kwanini nyie hamyatendi na kuyafuata yale yote mnayoyahubiri na kuyanena muwajibu " Mnapaswa kufuata kile ninachokisema na sio kile ninachokitenda"(kauli hii inatumika sana kwa wakatoliki na wakristo wengi mpaka sasa) kwani "Heri ya wale wanaosadiki bila kuona" kama isemavyo biblia.
Maneno ya King Leopold II na Bw. Jules Renquin yamekuwa yakifuatwa kila siku na ikawa ni utamaduni kwa wanawake wa kikongo wakati huo.
Ukisoma kitabu cha ABO UNE FEMME DU CONGO (A woman of Kongo) kilichoandikwa na Ludo Martens kilichochapishwa mwaka 1995 utaona ni kwa kiasi gani mwandishi amejaribu kuzungumzia suala hili kiundani kwa mfano katika ukurasa wa 68 amezungumzia mambo kadhaa yanayoendana na haya tuliyokwisha jadili hapo awali. Alienda mbali na kusema mambo yafuatayo..
Mababu zetu walikuwa wakijitegemea na walikuwa huru kwenye nchi yao lakini wakoloni walipokuja kwa lengo la kuwatawala kijiji baada ya kijiji, waliwaletea babu zetu chumvi na samaki waliokaushwa ili kuwarubuni washirikiane nao ila walikataa. Baada ya kukataa ilibidi watumie silaha za moto(Bunduki) na kwa Muafrica yeyote alieendelea kukataa kwa aliyekutwa na Upinde au Mshale mkononi alipigwa risasi papo hapo kisha wakawalazimisha babu zetu kuwafanyia kazi ngumu na wale walioonekana ni wavivu wakawa wanauawa.
Kisha wakatuletea Wamishionari (Tuwekane sawa kidogo hapa neno Missionary limetokana na Mission-ary ikiwa na maana walikuja na Mission yao) wakiwa na lengo(Mission) la kuwarubuni waafrica ili wawafanyie kazi kwa kujitolea kiroho safi (Ndio maana wakaja na ile mbinu ya Assimilation)
Waliwachukua watoto wadogo kutoka kwa mama zao na kuwafundisha dini kwa kisingizio eti ni Yatima hivyo watoto wamekuwa wakifundishwa dini na kukua wakijua ni Yatima hivyo kuwanyenyekea wao. Hivyo mdogo mdogo wakawa wakiisambaza dini yao baina yetu.. Hii inamanisha nini!?
Wao wamekuwa wakitukataza tusipende Pesa ila tumpende M/MUNGU aliye hai kuliko pesa lakini Wao Je! Hawapendi pesa!? Kampuni zao ikiwemo The Oil Mills of Belgium Congo inaingiza mamilioni ya pesa kupitia jasho letu. Je! Kutopenda pesa ni kuukubali Utumwa kwa kupewa ujira mdogo wakati wao wananufaika zaidi!!?
Walitukataza TUSIUE(Kutoka 20:13), Je! Wao hawaui!!?.. Hapa kilamba Mwaka 1931 waliuwa zaidi ya wanakijiji 1000.
Walitukataza TUSIIBE(Kutoka 20:15), Lakini wao wameiba ardhi yetu yenye rutuba, utajiri wetu na rasilimali zetu nyingi lakini Mtu mweusi alikuwa akiiba lazima aende KUTUBU na kumwambia kila kitu Mchungaji(Priest) kisha baada ya hapo mchungaji anapeleka taarifa kwenye Uongozi wao na yule mtu anakamatwa na kuwekwa Gerezani.
Sasa leo, Unaanzaje kuwa Mkatoliki au Mkristo!?
Unawezaje kuabudu dini ya watu wale waliokutesa!?
Unawezaje kuabudu dini ya watu walio-tesa,-dhurumu,-nyanyasa,-dharirisha,-ua babu zako!?
Wakatoliki na Wakristo wote ambao ni Waafrica wote ni WASALITI kwa mababu zao walioteswa, nyanyaswa,dhurumiwa,na kuuawa na wakoloni hawa.
Ni bora ata waafrica wenzangu waabudu zingine kuliko hii ya hawa waliotunyanyasa zaidi
Unaweza kuwa mkimbagu, mbuddha, muislamu na ata kuwa muumini wa dhehebu lingine lakini sio la hawa Wakristo kwa sababu kufanya hivo ni sawa na kuwatukana Babu zetu..
Hadi leo hii tunaona kuna viongozi wakubwa wa dini hizi ambao ni Waafrica wenzetu..hii inamaanisha nini!?
Waafrica bado tunatawaliwa na tutaendelea kuwa watumwa wa kifikra kutokana na huu Ukoloni mambo leo ulioletwa na watesi wetu.
Je! wakati makanisa ya Catholic, Protestant, Adventist, Baptist na mengineyo yaanzishwa na hawa wazungu kulikuwa ata na muafrica mmoja kati yao!!? Bila shaka jibu ni HAPANA!!
Angalia leo sasa, Sio Ghana, Kongo, Angola, Cameroon na sehemu zingine zote waafrica wanaabudu dini hizi kwa maelfu na maelfu yao huku wakitumia Biblia Takatifu kama kitabu cha marejeo lakini wamesahau hii hii Biblia ndio ilikuwa ikitumika kama kitabu cha marejeo na sheria zilizotumika kuwapumbaza Babu zetu na kusahau imani zao za asili walizowakuta nazo.
Itaendelea!!
(Ghost..)