90% za ndoa Tanzania zinapumulia limbwata

90% za ndoa Tanzania zinapumulia limbwata

He he he, umelishwa nyama ilolazwa mahabusu?

Usijali, hata hivyo, wengi tu siku hizi wanajipeleka mahabusu wenyewe.
Hii nimeipenda ,imetulia mwanangu.Huko anakokuita uchafu huwa tunaenda kwa hiari,bila kushawishiwa/kushurutiswa ,tukiwa na akili timamu.Aje mwanaume wa umri kuanzia 30 yrs and above ambaye hajahudhuria chumvini nami nitamuonesha makubwa asoyajua.
 
ufundi upi????ufundi wa 6*6 au upi
kwa maana mwanamke akitumia ufudi aliojaliwa oooooh wewe utatulia waganga wa nin wakati amelaaniwa yule amtegemeae mwanadamu mwenzie

mganga ni mimi mwenyewe na matendo yangu na tabia yangu

Ngoja nikupishe maana unaonekana ni fundi wa sekta zote
Sikuwezi hahhahahha...,
 
Mahabusu, DUH!!! Naona majina yote yataisha.
 
Wanawake wa sasa hawajiamini kabisa kwenye ndoa na mahusiano yao kutwa kucha kwa waganga kutafuta madawa, yaani wanaume tumekula sana hayo mauchafu yao sasa sijui tatizo ni nini? au wanaume tumezidi kuchepuka? tatizo ni nini jamani?
Ndio maana vifo vya ghafla vingi sana kwa wanaume, kumbe wanalishwa uchafu, aisee
 
Wanawake wa sasa hawajiamini kabisa kwenye ndoa na mahusiano yao kutwa kucha kwa waganga kutafuta madawa, yaani wanaume tumekula sana hayo mauchafu yao sasa sijui tatizo ni nini? au wanaume tumezidi kuchepuka? tatizo ni nini jamani?

I don't agree with u?
 
Wanawake wa sasa hawajiamini kabisa kwenye ndoa na mahusiano yao kutwa kucha kwa waganga kutafuta madawa, yaani wanaume tumekula sana hayo mauchafu yao sasa sijui tatizo ni nini? au wanaume tumezidi kuchepuka? tatizo ni nini jamani?


Unauliza jibu?
 
Wengi wao sio limbwata bali ni ujinga na kutojitambua kuwa ni wanaume na wanatakiwa wafanye nini

kkuna mbwata za aina nyingi moja uzembe wa mwanaume... pili kulishwa vitu vichafu..... tatu mapenzi kunoga
 
Aiseee mjini kuna tabu miaka hii. Inawezekana si asilimia hizo ila haya mambo yapo, yaani kuna wadada ukiambiwa hutoamini ila nafkiri wengi ni kuwa wako desperate kuolewa. Alafu cha ajabu ni kwamba wanaoendewa huko mara nyingi sio wachovu, mdada akishaona hapa pana mwanga kidogo basi huyooo ndruuki chanika na mimba anahakikisha kajilengesha kabisaa. Halafu pia
aina ya marafiki tunatunaohang nao around saa zingine uponza. Ila mnatia aibu alafu mkae mkijua zinaishaga vibaya.Wana kamsemo eti "Mungu" kasema jisaidie nami nitakusaidia
Angalia hiyo Mungu then utaelewa si yule tumtumainiaye ndo maana ana hizo alama.
 
Back
Top Bottom