Kweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2007
- 1,152
- 302
The self-styled mastermind of the 9/11 attacks and four co-defendants told a military judge at Guantanamo they wanted to confess and plead guilty.....
Hapa naona kuna kamchezo kanataka kufanyika, iweje hawa jamaa waingie guilty plea bargain kabla ya Preliminary hearing? Na mara tu baada ya kuchaguliwa Obama? (Dec 4) ndio wameingia hio bargain? kwa nini haraka haraka mno? mfano McCain angeshinda ingalikuaje?
Hapa naona kuna kamchezo kanataka kufanyika, iweje hawa jamaa waingie guilty plea bargain kabla ya Preliminary hearing? Na mara tu baada ya kuchaguliwa Obama? (Dec 4) ndio wameingia hio bargain? kwa nini haraka haraka mno? mfano McCain angeshinda ingalikuaje?