7 Surprising Health Benefits Of Ramadan

7 Surprising Health Benefits Of Ramadan

Nataka kuachana na Uislam kabisa kwani nimeshabaini kuwa si dini ni CULT.
Ni lini uliachana na ukafiri ndugu mchungwaji?
Wee uuache ukafiri utakula wapi?
Unalishwa wewe na familia nzima na hao makafiri Leo utathubutu kutia kitumbua chako mchanga?
Teh teh teh teh
Kadanganye wenzako mkikutana weekend
 
Mpaka hapo wewe si muislam sababu kua tu muislam ni kutoa shahada kwamba hakuna apaswae kuabudiwa kwa haki ila ALLAH na Muhammad ni mjumbe wake, ukiikataa hii kauli basi wewe si muislam hivyo hata funga yako sijui kama unafunga kama kweli inavyotakikana


HAIWEZEKANI Mohammad akawa mjumbe wa Allah (if ana exist), Mohammad alikuwa mbakaji, muwongo, mwizi, muuwaji, kila kitu kibaya alikuwa yeye. Iweje Mungu amfanye awe nabii ama mjumbe wake? Tumia akili bwana, na ndiyo nataka kuacha kabisa Uislam, yaani najuta kwanini sikujuwa hizi sifa za Mohammad kitambo. Nataka niwashitaki wazazi wangu kwa kunipotosha miaka yote hii.
 
Ni lini uliachana na ukafiri ndugu mchungwaji?
Wee uuache ukafiri utakula wapi?
Unalishwa wewe na familia nzima na hao makafiri Leo utathubutu kutia kitumbua chako mchanga?
Teh teh teh teh
Kadanganye wenzako mkikutana weekend


We jipige vidole tu kwa kuongea usiyoyajuwa.
 
We jipige vidole tu kwa kuongea usiyoyajuwa.
Waliberali hamuwezi kujadili mpk mtaje mnayofanya tena wazi kabisa bila aibu.
Naona huko juu unaita mwanamme wenzako "BWANA".
Nyie viumbe mmewashinda hata mbuzi katoliki kwa uchafu. Manake sijawahi kuona nguruwe shoga .
 
HAIWEZEKANI Mohammad akawa mjumbe wa Allah (if ana exist), Mohammad alikuwa mbakaji, muwongo, mwizi, muuwaji, kila kitu kibaya alikuwa yeye. Iweje Mungu amfanye awe nabii ama mjumbe wake? Tumia akili bwana, na ndiyo nataka kuacha kabisa Uislam, yaani najuta kwanini sikujuwa hizi sifa za Mohammad kitambo. Nataka niwashitaki wazazi wangu kwa kunipotosha miaka yote hii.
Fanya yote tamba sana ila fahamu tu duniani hapa tunapita na kila mtu atakua na lake la kujibu, kama unafahamu dunia tunapita basi jiulize tukitoka hapa tunaenda wapi. Usisikilize maneno ya kuambiwa ambayo hayako kwenye maandishi popote na kama unaongea tu sababu unaona no kwenye forum tambua kila jambo linalipwa na Muumba na yeye ni mjuaji wa yote, On Sha Allah akuongoze uijue njia ya haki
 
Wacha kujidanganya kijana. Hapa kinachobadilika ni ratiba ya kula tu. Badala ya kula asubuhi na mchana mnakula usiku woooote mpaka alfajiri. Cha kushangaza wakati huu ndiyo waislam wengi wananenepeana kwa kula hovyo, sasa hapa benefit iko wapi?
Wacha kujidanganya mzee.
Pia punguza uhasidi, hata kwa ibada anazo abudiwa Mwenyezi Mungu unahusudu watu! Aisee[emoji3]

Tunakushauri kufunga mwezi mmoja tu ili uwone tofauti yake, uwone tofauti baina ya kula na kufunga (saumu), kisha njoo tena kwenye thread hii, utusimulie (tofauti yake).

Usibishane na wanaofunga bila wewe kujaribu kwanza kufunga. Tumia busara.

Ama kweli wewe ni mbishi kama jina lako (la avatar).
[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Wacha kujidanganya kijana. Hapa kinachobadilika ni ratiba ya kula tu. Badala ya kula asubuhi na mchana mnakula usiku woooote mpaka alfajiri. Cha kushangaza wakati huu ndiyo waislam wengi wananenepeana kwa kula hovyo, sasa hapa benefit iko wapi?
[emoji28][emoji28][emoji28]Ama kweli akili ni mali, eti kinachobadilika ni ratiba ya kula tu! [emoji28][emoji28]

Kwani wewe unakula na kunywa mchana tu? usiku hauli wala haunywi? Au?

Haahaahaa...
 
Waliberali hamuwezi kujadili mpk mtaje mnayofanya tena wazi kabisa bila aibu.
Naona huko juu unaita mwanamme wenzako "BWANA".
Nyie viumbe mmewashinda hata mbuzi katoliki kwa uchafu. Manake sijawahi kuona nguruwe shoga .
[emoji28]
 
HAIWEZEKANI Mohammad akawa mjumbe wa Allah (if ana exist), Mohammad alikuwa mbakaji, muwongo, mwizi, muuwaji, kila kitu kibaya alikuwa yeye. Iweje Mungu amfanye awe nabii ama mjumbe wake? Tumia akili bwana, na ndiyo nataka kuacha kabisa Uislam, yaani najuta kwanini sikujuwa hizi sifa za Mohammad kitambo. Nataka niwashitaki wazazi wangu kwa kunipotosha miaka yote hii.
Kwa sababu wewe ni kafiri ndio maana unamzulia uongo Mtume wa Mwenyezi Mungu.

Mwenyezi Mungu anatosha kuwa Shahidi.
 
Hauwezi kabisa kulenganisha saumu ya Ramadhani ya mwezi mzima na siku za kula na kunywa mchana,

Kuacha kula wala kunywa kwa muda wa masaa 14 continuesly,
Sio sawa na mwezi wa kula na kunywa mchana.

Mwezi wa kawaida, unakula na kunywa mchana na usiku lakini mwezi wa Ramadhan hamna kula wala kunywa kuanzia AlFajiri mpaka usiku.

It is not the same.

Kwani kawaida MWANADAMU anapata raqaa ngapi kutwa!?
 
NI kipindi Maalum Ambacho WAFUASI wa YESU WANAKUMBUKA MAISHA YAKE HUSUSAN MATESO YAKE...
Kwani yesu alisulubiwa? mbona Biblia na Quran zinasema Yesu hakusulibiwa?
 
Back
Top Bottom