Ukitaka ulinzi wa kiroho katika biashara yako na mali kuwa mwaminifu sanaa katika kutoa zaka kamili. Kuna siri kubwa sana katika utoaji wa zaka, I will recommend mkaangalie Interview youtube ya Dr.king'ori na Pastor T-mwangi about "How spiritual is Money"
Malaki 3:10-11
[10]Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.
[11]Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema BWANA wa majeshi.
Hii law anaweza kutumia mtu yeyote regardless ya dini na akapata matokeo. Mf. Serikali ya ukraine inaweza kutoa kiasi flani cha rasilimali zao kwa marekani kwa lengo la guarantee ya ulinzi. Endapo ukraine itavamiwa basi marekani atamlinda. Kwahivyo, apa muhimu ni kuangalia taifa lenye nguvu zaidi ili kujihakikishia usalama imara.
Vivyo, hivyo unatoa sehemu ya kipato chako kwa Mungu ambae ana nguvu kuliko miungu yote kujihakikishia usalama thabiti.
Nasikitika sana kusema hivi lakini sina namna, Wakristo wengi tunahangaika sana na kuteswa na shetani kwasababu hatumjui Mungu wala hatufahamu uweza wa Nguvu zake. We underestimate the magnitude of God's power.
Utakutana na mtu anasema anamwamini Mungu and ofcourse they do! Lakini sio kwa kiwango cha kumtegemea. God wants total dependence.
Tunaenda kanisani kama utaratibu tu tuliojiwekea, math 15:8-9
"Watu hawa huniheshimu kwa midomo; Ila mioyo yao iko mbali nami. Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu"
Shetani anacheza na kitu kidogo saana kwenye maisha yetu, Maamuzi "Decision Making". Choices. Mf.anaweza kutajirisha watu wake kupitia sisi, anateka akili zetu tukanunue vitu kwa watu wake.
Huwezi kuitumia damu ya Yesu kama hirizi, utakua unajidanganya.. naona wengi wanauliza namna ya kuipata, ni lazima kwanza moyoni mwako umpokee Kristo naye akufanye kiumbe kipya, uwe mwana wa Ufalme wa Mungu, ndipo utajua thamani ya Damu ya Yesu.
Lastly, kuna level ya wealth na influence huwezi kufika kama huna spiritual assistance of either sides. This world is more spiritual than you can ever think. Holy spirit is the greatest of all. Choose wisely.