Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,716
- 15,275
Tritel si zantel hahaha. Kaka umesahau zamaniii tanzania kulikua na mitandao miwili wa zanzibar tritel na bara mobitel so tritel ndo zantel.
Sema tritel 3g ni network ya cdma so inafanya kazi kwa modem zao tu. Ila pale barabara 7 zipo line za cdma kwenye ofisi zao
hapa kuna zantel pamoja na hyo tritel na mitandao mngne unayoijua niki search ndo naona natumia nokia c5-00