Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,226
- 44,225
Wana latency 25ms sababu ya fiber, tushaongea sana mimi na wewe kuhusu hilo ila vinaingia sikio la huku vinatoka sikio la kule subiri ije hio starlink ujionee mwenyewe. Manake hapa unabishana hadi na Musk mwenyewe na website yake ambaye anaonesha ukanda wetu ping ni 100-150ms.Tatizo mna siasa nyingi yote ni kuiogopa starlink..
Starlink kwa huko US na EU n.k wana latency hadi 25ms ikizidi 60ms, hata kam Africa ni latency ya 100ms mbona ni nzuri tu!! Na uzuri wataboresha na sisi tutafika hizo 30ms...
Ndio maana nasema i dont care kuhusu latency zkiachama milliseconds, not a big deal, as long as speed ni nzuri inatosha sana...
Hizo 5G za 1Gbps mpaka ujiweze ulipie millions ndipo upewe hio speed tena baadhi ya maeneo ya mijini...
Upuuzi huu...
Starlink speed ni nzuri hata uwe kijiji hakina network.. utawatch youtube, stream netflix bila kukwama tena HD, wakati 3G inajifikiria...
Starlink ni bora zaidi...
Hio 5G wengi wenu speed mtapata ni 100 Mbps ambapo hata mwenye starlink atawazidi...
Halafu mnazungumza as if starlink ipo slow, starlink inaizidi hata hii 4G yetu ya hapa... Ina kasi sana..
Server na hosting watu wanatumia fiber ambazo ni more reliable.Sasa mnachopiga kelele 1Gbps ni ya kazi gani, labda kwa kutumia na servers una kampuni ya hosting...
Muda waliopewa unatosha😁 wacha soko liamue sasa.Salamu, katika pitapita zangu za hapa na pale mitandaoni nimetumia muda kidogo kulinganisha teknolojia hizo mbili hapo juu.
Na matokeo yake nikagundua 5G ipo juu zaidi ya starlink kwa karibu Kila eneo speed, latency etc
Kwa Nini tusiwape muda Hawa watoa huduma wetu kuwekeza 5G Yao iwepo kila mahali hapa nchini? Sababu Kwa Dunia ya Sasa hivi inahitaji internet yenye Kasi na 5G ipo vizuri kwenye Hilo?
Sent using my Iphone 16 pro max
Its way more better kuliko kuhangaika na manyaya ya fiber na yale ma antenna ya microwave mnaweka juu ya nyumba...Kwamba unazunguka na dish, waya, power supply router etc kama hivi unakula mishe mishe zako View attachment 3154707
While you get poor latency, poor upload speed, and paying more than 1 million to get it?
Duh! Mkuu mbona umejibu kwa ukali hivyo?,Inawezekana wewe ni Mjinga ama ni Mpumbavu,nothing more nothing less
Facts:-kuhusu mitandao ya simu*
1.Mitandao ya simu ina miaka zaidi ya 20 imeshindwa kufikisha 3G tu,vijijini itakua hio 5G,Ok tuwape miaka 50 na ngapi
2.Mitandao ya simu inatoza GB 1=2100/=,hivi si ni mpumbavu pekee atafurahia huu usengerema
3.mitandao ya simu inaweza zimwa na wanasiasa,kumbuka Kuna watu wnaafanya aggressive business online,hawaitaji network breakdown
Facts kuhusu Starlink
1.GB 50=elfu 30,yaani 1G=600Tsh,ni mpumbavu kama wewe ndio utakataa hii faida
2.unaweza access 10MBPS hata ukiwa maporini ambapo mitandao uchwara haifiki
3.ukilipia mfano hio GB 50,unaweza unganisha devices zaidi ya 200
4.wanasiasa wapenda madaraka hawawezi kukata network
Je wewe ni mjinga ama ni mpumbavu?
Hakuna mtu kabisha latency kwa Africa inacheza kwenye 100ms lakini nimesema , fvck latency , sina matumizi na latency ya 30ms , ya nini na itanisaidia nini?Wana latency 25ms sababu ya fiber, tushaongea sana mimi na wewe kuhusu hilo ila vinaingia sikio la huku vinatoka sikio la kule subiri ije hio starlink ujionee mwenyewe. Manake hapa unabishana hadi na Musk mwenyewe na website yake ambaye anaonesha ukanda wetu ping ni 100-150ms.
Upload speed ni ndogo ndio sometime hata 10mbps haifiki, na ping ndio most important thing kwenye internet ndio maana fiber inakuwa rated vizuri.Hakuna mtu kabisha latency kwa Africa inacheza kwenye 100ms lakini nimesema , fvck latency , sina matumizi na latency ya 30ms , ya nini na itanisaidia nini?
Upload speed una uhakika ni ndogo?
Africa hizo ground stations zitafika tu, hata moja ikiwekwa EA uhakika wa 30ms upo..Server na hosting watu wanatumia fiber ambazo ni more reliable.
Usijali mkuu, inakuja tutawaona na Antena zenu mkitembea, kilo 5 mpaka 10 beganiIts way more better kuliko kuhangaika na manyaya ya fiber na yale ma antenna ya microwave mnaweka juu ya nyumba...
Mtu unavuta nyaya inatoka posta hadi Mbagala eti internet kama sio upuuzi na hapo unatumia ukiwa nyumbani tu kama upo gerezani...
Hio antenna ni kama laptop tu, utatoka nayo utafika mahala utaitoa utaweka juu ya meza unatumia na kuperuzi safi kabisa..
Kilio kimesikika.. It’s happening.. StarLink Starlink ni kampuni ya Elon Musk. Inasambaza internet kama zilivyo kampuni za simu au zuku, TTCL na wengineo. Starlink inatumia satellite. Wakitupa Rates Kama za Kenya bei inaweza kua Hivi:Usijali mkuu, inakuja tutawaona na Antena zenu mkitembea, kilo 5 mpaka 10 begani
Starlink ni Dish, ni internet ambayo unatumia eneo moja tu, kama upo nyumbani utatumia tu hapo nyumbani huwezi tumia kwenye simu.
Hii ya leo kali, sijui hata kama unaelewa unachoandika...Upload speed ni ndogo ndio sometime hata 10mbps haifiki, na ping ndio most important thing kwenye internet ndio maana fiber inakuwa rated vizuri.
Ping ya 100ms sahau kuangalia kitu online, kufanya video call ama simu za internet, browsing itakua slow etc
star link ni ya liniSalamu, katika pitapita zangu za hapa na pale mitandaoni nimetumia muda kidogo kulinganisha teknolojia hizo mbili hapo juu.
Na matokeo yake nikagundua 5G ipo juu zaidi ya starlink kwa karibu Kila eneo speed, latency etc
Kwa Nini tusiwape muda Hawa watoa huduma wetu kuwekeza 5G Yao iwepo kila mahali hapa nchini? Sababu Kwa Dunia ya Sasa hivi inahitaji internet yenye Kasi na 5G ipo vizuri kwenye Hilo?
Sent using my Iphone 16 pro max
Nyie mtatembea na nyaya za fiber hadi ofisini kwenda na kurudi...Usijali mkuu, inakuja tutawaona na Antena zenu mkitembea, kilo 5 mpaka 10 begani
Kuna live video service na service ambazo zina buffer.Hii ya leo kali, sijui hata kama unaelewa unachoandika...
100ms unasema ni ndogo? Mimi nimetengeneza media server ya kurusha sauti na video live, na ping ikawa 300ms , na inakwenda as if ni real time...
Ping hata iwe 500ms haikuzuii kuangalia video online , 500ms ni ping nzuri tena sana tu hata kwa wanaorusha matukio ya live sports n.k... media kama cnn wanatumia internet siku hizi kuacha satellite kurusha live events kwa ping hizo hizo 300ms hadi 500ms..
Halafu tofautisha latency na speed, how latency itapelekea video kukwama?
Labda kama unatumia UDP protocol, hata UDP bado ina consider 500ms ni ping nzuri tena sana tu, UDP inaweza kwama kabda ping ya 1 sec itaaanza kwaruza...
Https ndio ya kisasa, youtube, netflix n.k wanatumia https ambayo haikwami hata kukiwa kuna loss ya packets inarudi kwenye server na kuchukua packets zilizokosekana...
Ping ya 100ms vide call inakwenda vizuri zaidi ya sana... Na live events unarusha...
Unaweza uka funga Fiber nyumbani na ofisini kwa bei ndogo kushinda Starlink moja.Nyie mtatembea na nyaya za fiber hadi ofisini kwenda na kurudi...
Sijajua rates za Starlink zitakuwa ni ni kiasi gani wakishaanza hapa, ila rates kwa nchi za wenzetu. Ni ghali zaidi ya bei za bundle tunazonunua hapa.Inawezekana wewe ni Mjinga ama ni Mpumbavu,nothing more nothing less
Facts:-kuhusu mitandao ya simu*
1.Mitandao ya simu ina miaka zaidi ya 20 imeshindwa kufikisha 3G tu,vijijini itakua hio 5G,Ok tuwape miaka 50 na ngapi
2.Mitandao ya simu inatoza GB 1=2100/=,hivi si ni mpumbavu pekee atafurahia huu usengerema
3.mitandao ya simu inaweza zimwa na wanasiasa,kumbuka Kuna watu wnaafanya aggressive business online,hawaitaji network breakdown
Facts kuhusu Starlink
1.GB 50=elfu 30,yaani 1G=600Tsh,ni mpumbavu kama wewe ndio utakataa hii faida
2.unaweza access 10MBPS hata ukiwa maporini ambapo mitandao uchwara haifiki
3.ukilipia mfano hio GB 50,unaweza unganisha devices zaidi ya 200
4.wanasiasa wapenda madaraka hawawezi kukata network
Je wewe ni mjinga ama ni mpumbavu?