512 KBPS Internet Speed

Kiresua

JF-Expert Member
May 13, 2009
1,184
259
Wandugu,

wataalamu naomba kujuzwa, unapouziwa 512KbPS ya internet maana yake nini!?

Je hii ni spidi unayopaswa kuwa nayo kwa kila mashine uliyonayo kwenye say ofisi au spidi hii inagawanyika kwa kila mashine (if so nikiwa mashine kama 10) spidi itakuwaje?

Ninapoona Local Area Connection Status; Speed 100 MbPs ina tafsiri gani ukilinganiasha na 512KbPs hapo juu ninayopata kwa service provider!?

Asanteni sana kwa kujuzwa!
 
mkuu kama ni 512kbps jua ipo kwenye bits kwanza speed ya kwenye bytes(ambayo ndo standard) itakua around 60kBps.

kuhusu kupata speed hio hio muulize isp wengine wanatoa shared speed wengine wanatoa speed ile ile kwa kila pc, au pia unaweza test mwenyewe
 
Wandugu,

wataalamu naomba kujuzwa, unapouziwa 512KbPS ya internet maana yake nini!?

Je hii ni spidi unayopaswa kuwa nayo kwa kila mashine uliyonayo kwenye say ofisi au spidi hii inagawanyika kwa kila mashine (if so nikiwa mashine kama 10) spidi itakuwaje?

Ninapoona Local Area Connection Status; Speed 100 MbPs ina tafsiri gani ukilinganiasha na 512KbPs hapo juu ninayopata kwa service provider!?

Asanteni sana kwa kujuzwa!

100Mbps katika LAN haimaanishi ni speed ya INTERNET bali ni speed ya NETWORK(Local Network kwa mfano kama umeunganisha PC nyumbani kwako ili kushare data SIO internet)
 
mkuu kama ni 512kbps jua ipo kwenye bits kwanza speed ya kwenye bytes(ambayo ndo standard) itakua around 60kBps.

kuhusu kupata speed hio hio muulize isp wengine wanatoa shared speed wengine wanatoa speed ile ile kwa kila pc, au pia unaweza test mwenyewe

Mkuu mashine yangu inasoma 100Mbps speed!! iko sawa kwenye hiyo 512Kbps
 
Wandugu,

wataalamu naomba kujuzwa, unapouziwa 512KbPS ya internet maana yake nini!?

Je hii ni spidi unayopaswa kuwa nayo kwa kila mashine uliyonayo kwenye say ofisi au spidi hii inagawanyika kwa kila mashine (if so nikiwa mashine kama 10) spidi itakuwaje?

Ninapoona Local Area Connection Status; Speed 100 MbPs ina tafsiri gani ukilinganiasha na 512KbPs hapo juu ninayopata kwa service provider!?

Asanteni sana kwa kujuzwa!

hii speed unaipata kwa modem au ISP wa kawaida hawa?
 
mh Wakuu 100mbps??? maana Naona Hata Nchi Zenye Speed Kali Ya Internet im not sure kama wanafikiaga Hyo speed
 
Well, LAN traffic 100Mbps na Internet traffic 512Kbps ni vitu viwili tofauti.
Mahusiano ni kuwa Internet traffic inapita through LAN traffic ili kufika kwenye computer zako lakini inabaki kuwa 512Kbps

since ISP anakupa 512Kbps maana yake ni kuwa computer ulizofunga kwenye hiyo network yako zina share hiyo 512Kbps connection kwa uwiano unaotegemea matumizi yaliyo kwenye hizo computers

Lakini pia unless umefanya speed test ukaona unapata hiyo 512, otherwise ISP anapokwabia service plan ni 512Kbps mara nyingi wanamaanisha shared service plans ambapo hiyo speed mnagawana wewe na wateja wake wengine pia.

ziko contention ratio za 10:1, 10:5 etc (these are technical specs na most ISP hawapendi kuwaeleza clients the reality). actual connection unayoweza kupata inakua only around 60 to 64Kbps

 
Ufafanuzi: Kutoka komputa yako mpaka kifaa unachopewa na service provider ndo inaitwa LAN ambayo connection yake ipo fast kutegemea na network card iliyomo katika computer yako na uwezo wa Modem/Router ya ISP. Hapo ndo kuna hiyo 100 MB/s. Kutoka Modem/Router kwenda ISP ndo unapata hiyo connection ya 512kbps inategemea upo wapi Google fiber inasupport hadi Gbps connection. Kuna aina mbili za connection zinazotumika zaidi dedicated na shared, dedicated line ISP anakuhakikishia download na upload speed na haiwezi kushuka ila wakati mwingine inaweza ongezeka. Shared line ni kundi linawekwa pamoja na ni vigumu kufikisha hiyo connection uliyoambiwa.
 
wakuu mbona mimi niki connect wifi inakuwa na speed 75mb/s kama mobile broadband inavyokuwa 7.5mb/s na nikitumia wajanja night high speed napata speed ya mb 4.8 speed ya kushusha mzigo wa gb2 kwa dkk 25 na nikitumia wifi speed inakuja mpaka mb 38 kwa second na niki connect unapanda mpaka 54 mb nikiwa nadownload lakini nadownload mb 30 kwa nusu saa na hii ni kwanini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom