Tutumiane hiyo mkuu
Tutumiane hiyo mkuu
Mkuu unatumia simu au computer?Kwangu kinakpliz kufunguka,msaada pliz
HahahahaNapost kulingana na vijana wangu wanavyoendelea kufanya uchambuzi ..
Mkuu unataka ale wapi? Ana full book kama hiyo wadau waliyotuma hapa, then yeye anajifanya ni kazi yake kwa kuwaomba watu hela eti awasaidie kuwatumia mchanganuo mmoja mmoja.Huoni kama unasumbuka kutuma moja moja,ungetupia hyo full doc then watu wakajichagulia wenyewe kulingana na uwezo wap wa mtaji
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu unataka ale wapi? Ana full book kama hiyo wadau waliyotuma hapa, then yeye anajifanya ni kazi yake kwa kuwaomba watu hela eti awasaidie kuwatumia mchanganuo mmoja mmoja.
Sikuingia siku nyingi humu, vipi umeshapata ile documentTutumiane hiyo mkuu
Mkuu, hiyo kampuni yako ya MDI ilifanya hizo tafiti wapi na kuja na hizi business ideas ambazo unawatumia watu hapa kwa malipo?Wenye kuelewa tunaendelea vizuri, wasiohitaji kuelewa wataendelea kupeana udaku. Sisi tunafanyia kazi tafiti zilizofanyika na zikawekwa pasipo kufanyiwa kazi. Anakuja mtu analeta kitu cha 2010; na sasa ni 2018; hivi mtu huwezi kujiuliza miaka 8 imepita kitu hiki hakijabadilika kweli?
Angalizo hakuna jipya chini ya jua .. hata mpenzi wako wa sasa ni mpenzi wa zamani wa mwingine. Ila kwa sasa sio sawa na kipindi alipokuwa kwa mwingine.
Mwenye macho haambiwi tazama.
SimuMkuu unatumia simu au computer?
Laptop ni ngumu kwan nipo mobile sana mpaka nitulieMkuu unatumia simu au computer?
Mkuu naomba unitumie full book kwenye email msigwamb@gmail.com because nikijaribu kodownload PDF uliyoweka hapa jukwan kwangu inagomaMkuu, hiyo kampuni yako ya MDI ilifanya hizo tafiti wapi na kuja na hizi business ideas ambazo unawatumia watu hapa kwa malipo?
Mwanzo ulisema ulituma vijana wako maeneo tofauti kufanya tafiti na mkaja na hii kitu, sasa hivi baada ya kuumbuka unasema mnafanyia kazi tafiti zilizoachwa bila kutumika.
Unasema ya 2010 ni ya zamani. Sasa hii ya 2010 unayokopi kwayoView attachment 846619
Ina tofauti gani na hii hapa chini unayotumia watu na kujifanya ni yako?View attachment 846621
Ila sio mbaya. Wajinga ndio waliwao. Sisi tumeshawekea full book.
Ubarikiwe kiongozi
Hakuna jipya chini ya jua.Mkuu, hiyo kampuni yako ya MDI ilifanya hizo tafiti wapi na kuja na hizi business ideas ambazo unawatumia watu hapa kwa malipo?
Mwanzo ulisema ulituma vijana wako maeneo tofauti kufanya tafiti na mkaja na hii kitu, sasa hivi baada ya kuumbuka unasema mnafanyia kazi tafiti zilizoachwa bila kutumika.
Unasema ya 2010 ni ya zamani. Sasa hii ya 2010 unayokopi kwayoView attachment 846619
Ina tofauti gani na hii hapa chini unayotumia watu na kujifanya ni yako?View attachment 846621
Ila sio mbaya. Wajinga ndio waliwao. Sisi tumeshawekea full book.