5 secrets to making him love you

Wengine wana matatizo yao toka hukoo kwenye familia zao, au mtu karithi mitabia, hata afanyiwe nini nibure.
 
Wengine wana matatizo yao toka hukoo kwenye familia zao, au mtu karithi mitabia, hata afanyiwe nini nibure.
Thanks dia,u nailed it,.very few men can appreciate and hold on to what they have..hata uwabebe,ts just the same..enjoy while it lasts,na kuomba Mungu tu.
 
Yani we acha tu shosti...yani kupelekana sijui beach..mara kushikana shikana na kubembelezana naishia kuchungulia kwenye tamthilia mtaa wa pili!

Ala, kumbe unataka akufanyie kama unavyoona kwenye tamthiliya???
 
Mimi nimeweza kuongea na mapadri na wachungaji wanaoletewa mashitaka ya ndoa kuvunjika wengi wanasema suala kubwa ni mchezo. Mchezo ukidorora chumbani ndio mwanzo wa ndoa nyingi kufa. Lamuhimu nikujua mpenzi wako anataka penzi la namna gani ili umfikishe kileleni, bila kufika kileleni ujue hilo penzi halitadumu. Na kama litadumu ni kuvumiliana tu bila penzi na uvumilivu huo unaweza kufanywa tu kupitia imani zetu. Kama mtu sio wa imani bila shaka atahangaika kumpata anayemfikisha kileleni. Hivyo mpeleleze mwenzio ujue anahitaji nini na wakati mwingine unahitaji kufanya utafiti maana kuna mwenzi mwingine atasikia aibu kukuambia anachotaka. Huenda anahitaji tiGO sio rahisi kuanza kumwambia, hivyo unachotakiwa kumfanyia research kama ndio chaguo lake, la sivyo atatoka nje kuitafuta na ndio mwanzo wa penzi kufifia na hatimaye kufa kabisa. Huo ndio ukweli!!!

Haah!! mimi nilidhani hawa jamaa (wachungaji na mapadre) huwa wanaficha siri za malalamiko yanayopelekwa kwao kuhusu migogoro ya ndoa kumbe hakuna kitu? Nadhani sasa kuna haja ya kuacha kwenda kuwaomba ushauri.
 
Duuh! hizi comments za Tracy, na Mamushka, zinaonyesha kuwa wameshajikatia tamaa. Tatizo kubwa la kina dada ni kudhani kuwa wanaweza kumkubali mwanaume halafu wambadilishe tabia au mapungufu ambayo hawayapendi wakati wanawabali. Kwa ufupi ni kwamba huwezi kumbadilisha tabia mtu mzima (awe mwanaume au mwanamke) unachotakiwa kufanya ni kumkubali yeye na tabia zake kama zilivyo. Kama bado unadhani kuwa utambadilisha jua unaota ndoto za mchana.
 
Haah!! mimi nilidhani hawa jamaa (wachungaji na mapadre) huwa wanaficha siri za malalamiko yanayopelekwa kwao kuhusu migogoro ya ndoa kumbe hakuna kitu? Nadhani sasa kuna haja ya kuacha kwenda kuwaomba ushauri.

Nakweli, kama mambo yenyewe ndo hayo bora kesi zisiwaendee tena kwani wanakiuka sheria. Hawana hekima wala kutunza siri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom