I THOUGHT THIS WAS AN IT SCAM MAANA SIKU HIZI WAHUNI WENGI.. UMESHAWEZA KUONA MABADILIKO YA 4G KWAKO KAMANDA??Hatimaye Airtel wahamia 4G, hope hawatabadilisha vufurushi vyao.View attachment 1154083
Tayari mkuu mie kwangu jana walini add kwenye 4g yao tena bila kubadili line mpaka nikashangaa.. ikabidi niitest kwenye modem zingine na nikaona kweli imeshika 4g..Nmebadili leo line
Hakuna cha 4G wala nini
Nmewapigia wananiambia et hawajazindua bado
Wakati walikua wananitumia ma sms tele
Tayari mkuu mie kwangu jana walini add kwenye 4g yao tena bila kubadili line mpaka nikashangaa.. ikabidi niitest kwenye modem zingine na nikaona kweli imeshika 4g..
Nimeambatanisha na screen shot uoneView attachment 1173565
Walishaniwekea wakanipa na GB4 zangu
Zimeniishia asaivi natafuta bundle la kujiunga
Bonyeza *149*99# then no 5 smartika, then no 2 boresha line, then 2 utaonaMi nimeshapata 4G ila hawajanipa hizo GB4. Unafanyaje kuzipata?
Unazichukua mwenyeweMi nimeshapata 4G ila hawajanipa hizo GB4. Unafanyaje kuzipata?
Sio kama ni kweli iko hivyo jamaa wana 4G.Kama ni kwelii airtel wameleta 4g itapeendeza sana bado halotel nao
Hallotel walishapitaga huku kitamboKama ni kwelii airtel wameleta 4g itapeendeza sana bado halotel nao
Ni GB ngapi? na ni TZS ngapi?safi sana, na hawa majamaa bando lao la chuo liko cheap kuliko Vodacom Tanzania