Hili swali na mimi nimeulizwa leo nimebaki naduwaa...nikaingia google nikaletwa hapa jeiefu!!!
Hata jeiefu nayo ni gugo...
Halafu kaka jana tumepishana mitaa fulani sidhani kama ulinigundua kachero mimi...
Ilikuwa jioni jioni hivi kama saa 11, sote tulikuwa tumepanda TZ 11
Ngoja kwanza nimekugunduaaaaaaa....aisee...si maeneo ya pensheni pensheni hivi (if you no woram saying!??)!!!
Nilikuwa naelekea nilikopaki 'MO' yangu mkuu parking karibu na ofisi imekuwa shida sana...!hahahahaha
ngoja niitafute dayari yangu ya 2013 mara zat zat...
Nisaidie kujibu Swali Hili! "KWA
NINI 40?"
Akizaliwa Mtoto Anatolewa Nje
Baada Ya Cku 40,
Mtu Akifa Siku Ya 40 Anafanyiwa
Ibada/Matanga. NUHU Alitengeneza
Safina kwa Muda Wa Miaka 40!
Mvua Ya Garika Ilinyesha Cku 40!
Za mwizi 40,
Waisrael Walikaa Nyikani kwa Muda
Wa Miaka 40,
YESU Alifunga kwa Cku 40,
Marekani Rais Anaapishwa Baada
Ya Cku 40. Hebu Leo Nipe Jibu
"kwa Nini 40?"
Natamani niandike mistari ya hip hop kwa kuwa mtihani wako haujibiki.
au uchore nembo ya freemason kabisaa:rolleyez:
inaitwa chama cha wenyenazohiii hapa zamani tuliita kompasi![]()
siku hizi imebadilishwa sijui inaitwaje.