3mzuka

3mzuka

Kiby

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2009
Posts
6,933
Reaction score
4,704
Leo tarehe 25 mwezi wa pili tatu mzuka wamekuja na droo ya kitapeli kwa mshindi wa milioni 60.
Namna walivyozishirikisha namba za kuchagua kati ya 1 hadi 6 kwa watu wawili pamoja huku wakijua wazi kwamba ni vigumu mno mmoja achague zote tatu mzuka na wa pili akose zote tatu mzuka.
Kwa kweli hapa uwezekano wa kushinda milioni 60 kwa huu mtego ni 0.0001.
Ni afadhali hawa wachezesha kamari wawaweke wazi masikini wa kitanzania wanaowakwapua mamilioni ya pesa kwamba droo kama haikutosha kutoa zawadi tarajiwa kwa mshindi, iahirishwe hadi wiki inayofuata.
 
Mtu wangu, siku nyingi huonekani ukicheza. Usiache kucheza leo, huenda wewe ni mshindi wa M60 leo. Cheza sasa. Kuna M6 kila saa. Kampn No 555111 Kumbkmb SHINDA
 
Mtu wangu, siku nyingi huonekani ukicheza. Usiache kucheza leo, huenda wewe ni mshindi wa M60 leo. Cheza sasa. Kuna M6 kila saa. Kampn No 555111 Kumbkmb SHINDA
Yaani kama unaupenda mwili wako uepushe ni hizi pressure za kujitakia.
 
ETI UKISHINDA, TANZANIA IMESHINDA
Watoa matangazo yote ya biashara kamwe hawatourithi ufalme wa Mungu maana kama kuna uongo duniani ni kwenye matangazo ya kibiashara
 
c bora nikabet nikipuna au nikipunwa matokeo najionea mwenyewe live ila co kuliwa kindezi na hao matapeli wa mchana kweupe
 
Back
Top Bottom