Bal
Member
- Nov 19, 2018
- 31
- 31
Wadau hongereni kwa ujasiliamali....
Naomba ushauri nina 3M nataka nianze ufugaji wa kuku wa kisasa.
1. Naomba kujua ukubwa na sifa kwa ujumla wa banda lake
2. Kuku wa mayai au nyama yupi analipa?
3. Kampuni inauza vifaranga bora kwa tanzania
4. Nianze na kuku wangapi (kwa kuku wa mayai wangapi na nyama wangapi)
5. Namna ya kuwapokea vifaranga
5. Mengineyo yanayoweza kunisaidia
Naomba ushauri nina 3M nataka nianze ufugaji wa kuku wa kisasa.
1. Naomba kujua ukubwa na sifa kwa ujumla wa banda lake
2. Kuku wa mayai au nyama yupi analipa?
3. Kampuni inauza vifaranga bora kwa tanzania
4. Nianze na kuku wangapi (kwa kuku wa mayai wangapi na nyama wangapi)
5. Namna ya kuwapokea vifaranga
5. Mengineyo yanayoweza kunisaidia