3G vs 4G wireless Whts the diference ?

3G vs 4G wireless Whts the diference ?

Mtazamaji

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2008
Posts
5,937
Reaction score
1,445
Fews days back tumejadili na wanaamv ihili kujadili mada zinazohusu mobile data service. Kuna misamiti makampuni ya simu naona yanatumia kuvutia wateja kama vile 4G au 3G. lakini je tujiulize

  • Nini maana ya haya maneno 1G, 2g 3g na 4g kaika mambo ya simu.
  • Data trough put inatakiwa kuwaje katika hizi service?
  • Tofauti ya data troughput unapokuwa kwenye movement na pale unapkuwa stationed sehemu fulani .
  • Je una huduma za 4G
Video hii nzuri mtaalam anashuka shule inayoweza kukupa mwanga na kujua je huduma unayopata ya data ni 2G 3G au 4G



So tukiweka misamiati ya makapuni pembeni tunapata huduma gani ya data is it 2g or 3G?


Kuhusu 4g ukisoma 4G - Wikipedia, the free encyclopedia unaona kwa standard maalum iliyowekwa na ITU-R basi hakuna service ya 4 kwa sasa. Yanachofanya makampuni ni kujiwekea standard zao na kuzibatiza kuwa ni 4g.

Kifupi kwenye hiyo link wansema nini kuhusu 4G
..... the ITU-R organization specified the IMT-Advanced (International Mobile Telecommunications Advanced) requirements for 4G standards, setting peak speed requirements for 4G service at 100 Mbit/s for high mobility communication (such as from trains and cars) and 1 Gbit/s for low mobility communication (such as pedestrians and stationary users).[1].........
Nawasilisha kwa mjadala
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom