3G ama 2G nitajuaje?

Ndio 2G networks ni gprs na edge ..3G ni hspda, hsdpa, hspa + ...4g ni Lte unaeza usome zaidi Wikipedia
 
kwa hapa Tanzania wala hakuna tofauti, ni majina tu. ila ukiwa ulaya, au South Africa 3g huwa na spidi zaidi.
3.7g ya airtel ni kanyaboya!
 
nimeelewa kaka vipi kama utatumia modem ya AIRTEL kwa laptop hapo utakuwa unatumia 3G au 2G ? Na kama upo Dodoma

Kama ni laptop ile software ya ku connect /dashboard mkono wakushoto chini inaandika pia tena kama kawaida 2g-Gprs, edge. 3G -wcdma, Hsdpa ..nauhakika dodoma speed za 3G zipo
 
2G(GPRS),2.5G(EDGE),3G,WCDMA etc Ni Mobile Technology!!! Naungana na mdau kwa bongo ni kudanganya watu tu,we ushawahi ona wapi unajiunga na 3.75G kwa kusubscribe??? Je hyo simu ipo capable kwa hyo tech?
 
2G(GPRS),2.5G(EDGE),3G,WCDMA etc Ni Mobile Technology!!! Naungana na mdau kwa bongo ni kudanganya watu tu,we ushawahi ona wapi unajiunga na 3.75G kwa kusubscribe??? Je hyo simu ipo capable kwa hyo tech?

3.75 G si HSUPA Ambayo kuna high speed ya kuupload data kama sijakosea
 
Back
Top Bottom