2Slim kirutubisho

2Slim kirutubisho

Emmanuelasam

Member
Joined
Oct 12, 2017
Posts
11
Reaction score
0
Wale ambao tunahitaji kupunguza unene jamani kitu hicho cha 2slim 2kg ndani ya cku 6 kuna mmoja katumia ndani ya 2 weeks akalose 10kg wewe ni kuinywa tu inawezekana umefanya mazoezi sana, umetafuta dawa ya kupunguza unene lakini bado hujafanikiwa. basi kitu cha 2slim kinaweza kukusaidia hizi ni natural made products
 
Kwani kila mtu unaenda kumtajia bei yake huko whatsapp? Jibu swali ni bei gani
Okay km wataka bei tu ucjal bei ni moja Package 1 yenye vipakti vidogo 14, si kila MTU na bei yake. Ila nimetoa contact ya watsap cause kuna option unaweza nunua rejareja halafu pia unaweza jiunga ukawa unapata kwa bei nafuu.
 
Okay km wataka bei tu ucjal bei ni moja Package 1 yenye vipakti vidogo 14, si kila MTU na bei yake. Ila nimetoa contact ya watsap cause kuna option unaweza nunua rejareja halafu pia unaweza jiunga ukawa unapata kwa bei nafuu.
ndo ungeweka sasa bei ya reja reja na ya aliyejiunga
 
ndo ungeweka sasa bei ya reja reja na ya aliyejiunga
Yap iko hivi 1 package ambayo ina vipakti vidogovidogo ndani yake ni sh. Laki 150 kwa rejareja hiyo
Ukitaka kujiunga kuna vifurushi vinne:-
1. Cha tsh. Laki 290, ambapo unapata package 2
2. Tsh. Milioni 1.5 unapata package 20
3 Tsh. Milioni 2.9 package 60
4. Tsh. Milioni 5 package 100
Kwa hiyo unachagua kati ya vifurushi hivyo ambacho unamudu kulipia. Ukijiunga ukapata bidhaa hizi una uwezo wa kutumia kwa tiba yako mwenyewe na zingine ukauza.
Ukishakuwa memba unaweza kuagiza kwa bei nafuu. Lkn pia ukipata wengine wakajiunga kupitia ww unapata points ambazo zitakupatia pesa.
Karibu
 
mbona bei kubwa hivyo? vitu vya asili vina bei hivyo???
 
Yap iko hivi 1 package ambayo ina vipakti vidogovidogo ndani yake ni sh. Laki 150 kwa rejareja hiyo
Ukitaka kujiunga kuna vifurushi vinne:-
1. Cha tsh. Laki 290, ambapo unapata package 2
2. Tsh. Milioni 1.5 unapata package 20
3 Tsh. Milioni 2.9 package 60
4. Tsh. Milioni 5 package 100
Kwa hiyo unachagua kati ya vifurushi hivyo ambacho unamudu kulipia. Ukijiunga ukapata bidhaa hizi una uwezo wa kutumia kwa tiba yako mwenyewe na zingine ukauza.
Ukishakuwa memba unaweza kuagiza kwa bei nafuu. Lkn pia ukipata wengine wakajiunga kupitia ww unapata points ambazo zitakupatia pesa.
Karibu

Million 5 hahah haya mabonge mukuje hapa
 
Back
Top Bottom