2round selection

2round selection

Kwel mkuu..
Watu tunapresha hapa mwaka mzima mtaan af anasema nn huyo..

ukweli ni mgumu, niliwaambiwa itakuwepo 3rd round mkabisha ingieni kwenye profile zenu then click selection results uone ujumbe unaokuja, itakuwepo ila kama ulichoose selection zako wisely kama walivyosema utakuwa safe tu
 
ukiwa huna uhakika na jambo usijibu na kupotosha watu ,kutemwa tena au kutotemwa ni siri ya TCU.

12074658_10206333204666969_3956668023392934019_n.jpg

kila la kheri watakaopata 2nd round, wa 3rd round pia all the best
 
Mhhh broo umeangukia third selection !!!!?

hapana mi binafs nilipata za kwanza hiyo screencapture ya alieambiwa kufanya 2nd round, tcu ndo wanasema wameanza kuprocess 2nd round ila CAS itafunguliwa kwa ajili ya 3rd round
 
hapana mi binafs nilipata za kwanza hiyo screencapture ya alieambiwa kufanya 2nd round, tcu ndo wanasema wameanza kuprocess 2nd round ila CAS itafunguliwa kwa ajili ya 3rd round

Owkey nmeprove bro ni kweli 100% ulichoandika.
 
Oya mbona wengine hawajaandikiwa chochote kwenye profile zao.
 
Oya mbona wengine hawajaandikiwa chochote kwenye profile zao.
waliopata 1st selection ukiingia profile itaonekana haina mabadiliko ila ukienda sehemu ya profile ndo kanakuja hako kaujumbe, wa 2nd round akienda ata sehemu ya kumake 2nd round selection unakuja huo ujumbe
 
12074658_10206333204666969_3956668023392934019_n.jpg

kila la kheri watakaopata 2nd round, wa 3rd round pia all the best
so hyo inamaansha huyo m2 atakuwa wa 3rd round au kwa yeyote alyepata 2round na alyekosa inakuwa hvyo? cjawasom tcu japo nmeelewa meaning ya hayo maneno
 
udsm wameshatoa majina ya undergraduate stiudents,, inakuaje kwa sisi tuliaochagua 2round mfano mm nmechagua 1.civil and 2.mining hapo udsm,, nisaidieni wadau

Yani 2nd round unajaza UDSM? Kwa experience hizo course za Mining na Civil hata walioomba awamu ya kwanza wamekosa wengi sana na wana matokeo mazuri sana ya PCM. Kwa 2nd round UDSM labda ARCHEOLOGY na ARCHTECTURE ndio zinakuwaga na nafasi sana,
 
so hyo inamaansha huyo m2 atakuwa wa 3rd round au kwa yeyote alyepata 2round na alyekosa inakuwa hvyo? cjawasom tcu japo nmeelewa meaning ya hayo maneno

hiyo message inaonekana kwa profile ya kila mtu, ata ambae ameshapata chuo, akienda sehemu ya profile inakuja, ingawa anapologin inakuwepo ile ile ya provisional selection, ni taarifa tu juu ya kinachoendelea, wa 2nd round ata akienda sehemu ya make 2nd round blockade ni ya huo ujumbe, watakaoambiwa kufanya 3rd round utakuja ujumbe tofaut
 
me nimeuona pia huo ujumbe ,sasa cjajua hao 3rd round kutakua na vgezo gan mpaka wapatikane..
 
So inawezekana kutemwa tena second round application mkuu? Na ni had cku ngap wataanza ku release second batch kuanzia leo?
wenyewe wameandika watatangaza within few days , so kwa kujiongeza hapo huenda kuanzia next week.
 
hiyo message inaonekana kwa profile ya kila mtu, ata ambae ameshapata chuo, akienda sehemu ya profile inakuja, ingawa anapologin inakuwepo ile ile ya provisional selection, ni taarifa tu juu ya kinachoendelea, wa 2nd round ata akienda sehemu ya make 2nd round blockade ni ya huo ujumbe, watakaoambiwa kufanya 3rd round utakuja ujumbe tofaut
asante mkuu nmekuelewa...
 
Back
Top Bottom