Pole sana mkuu, kwa mawazo yangu ni kwamba pengine umepanga kuwa na mtu wa vigezo unavyotaka wewe hivyo kila ukikutana na binti unaona kama hakufai. Pia background yako km umesoma shule zenye makatazo ya uhusiano wa kimapenzi mf Seminaries, na ukayashika mafunzo hayo inajenga dhana ya kuona wanawake ni watu wa kawaida tu. Nakushauri ussetle down mda ukifika utapata wakukfaa. watu wa type hii there ar 2things kiwa waaminifu kwny ndoa au kutoshkika wakianza mapenzi..