25 Oktoba kumchagua Lowassa

25 Oktoba kumchagua Lowassa

Hivi hawa jamaa hawaelewi kuwa tumewachoka au ni ubishi na kiburi tu , naona hiyo tarehe 25 mbali Mbona. L4C any day..
 
CCM wanamshitaki Mh LOWASA kwetu wananchi kuwa ni mwizi baada ya wao kushindwa kumu hukumu: Sasa basi hukumu yetu sisi wananchi ni october 25:Ambapo sisi wananchi tutamfunga miaka 10 IKULU; Pamoja na adhabu kali ya kututumikia sisi wananchi kwa kutupa elimu ya uhakika, huduma za afya bora.na kuleta maendeleo bora kwa Tanzania nzima.
Mwananchi wahi mapema tar 25 october kumchaguwa MH LOWASA.
Asante mheshimiwa. Kathread katamu!!!! ( nifah na Dinazarde hebu njooni huku mtoe sapoti)
 
Last edited by a moderator:
Lowassa ikulu ataisikia kwenye bomba.#Hapakazitu
kazi tu wakati malipo ni kiduchu !! Sisi huyu jamaa sharti tumfunge ikulu atutumikie adhabu kali ya miaka kuwatumikia watanzania na kuinua mapato yao. KAZI TUMECHOKA.
 
Kazi Zipi Mkuu? Ndiyo Mnavyo Danganywa! Mngekuwa Na ufahamu kichwani, mngeuliza swali hili, yapo wapi Maisha bora kwa kila mtanzania?

Sidhani kama ungeandika ujinga uhu, au ungeendelea kushabikia ccm kama wewe ni mzima!
Wewe ulichoandika cha maana ni kipi? Mimi siyo CCM wala Nyumbu. Ninaona muelekeo wa Lowassa kutinga Ikulu ni zero. Ona Mnyika anavyotafuta "scapegoat" kwa Tume ya Uchaguzi, kwavile ameshajua kuwa "the game is over"! #Hapakazitu
 
Back
Top Bottom