mnyakarema
Member
- May 27, 2013
- 16
- 11
CCM wanamshitaki Mh LOWASA kwetu wananchi kuwa ni mwizi baada ya wao kushindwa kumu hukumu:
Sasa basi hukumu yetu sisi wananchi ni october 25:
Ambapo sisi wananchi tutamfunga miaka 10 IKULU; Pamoja na adhabu kali ya kututumikia sisi wananchi kwa kutupa elimu ya uhakika, huduma za afya bora na kuleta maendeleo bora kwa Tanzania nzima.
Mwananchi wahi mapema tar 25 october kumchaguwa MH LOWASA.
Sasa basi hukumu yetu sisi wananchi ni october 25:
Ambapo sisi wananchi tutamfunga miaka 10 IKULU; Pamoja na adhabu kali ya kututumikia sisi wananchi kwa kutupa elimu ya uhakika, huduma za afya bora na kuleta maendeleo bora kwa Tanzania nzima.
Mwananchi wahi mapema tar 25 october kumchaguwa MH LOWASA.