24: Season 8.


Hizo za kiukweli zinapatikana duka gani jamani, I wish ningekuwa na mwendelezo wa hizo za kweli!
 
Wakuu, inapatikana online, kwa sisi tusojua tuipeje????

Kama vp unaweza kuzinyonya(episodes) kwa kuzidowload bure hapa http://www.torrentz.com/search?q=24 unachotakiwa kufanya ni kuclick tu hapo kwenye torrent(mfano 24 S08E01) ukishaclick itakupeleka hapa http://www.torrentz.com/6c6871a3034aed9e5666822f416156d72977e757 click mojawapo kati ya hizo(mfano thepratebay) then itakupeleka hapa http://thepiratebay.org/torrent/5288175/24.S08E01.HDTV.XviD-2HD.[VTV].avi baada ya hapa unatakiwa uclick Download this torrent,ukisha click hapo hiyo torrent itaenda moja kwa moja kwenye Bittorrent software ambayo ni maalum kwa ajili ya kudownload torrents za aina yoyote ile(Miziki,movies,images n.k)....


NB;

Ni lazima kwanza udownload na kuinstall Bittorrent software kabla hujaanza kufanya kitu chochote,unaweza kutumia Vuze(http://www.vuze.com/) ama Ares(http://aresgalaxy.sourceforge.net/) au waweza kutumia Bitlord(http://www.soft32.com/download_123574.html)...Ni muda mchache sana unatumika kudownload na kuinstall software hizi na ni free of charge
 
Jamani mie natafuta DESPERATE HOUSEWIVES Season 7.Yeyote anayejua ilipo anielekeze.thanks

Doh,Season 7 hata haifikiriwi itaanza kuonekana lini na sidhani hata kama wameshaanza kushoot maana sasa hivi wanaonesha Season 6 ambayo ilianza kuoneshwa mwezi September 2009 na kwa sasa ndo kwanza wapo episode ya 13(imeoneshwa jana)

Kama utataka kuidownload(kwa kufuata maelekezo niliyotoa hapo juu) utaipata hapa(seaon 6 lakini): http://www.torrentz.com/search?q=desperate+housewives
 
Thanks Balantanda.
 
Hizo za kiukweli zinapatikana duka gani jamani, I wish ningekuwa na mwendelezo wa hizo za kweli!

Tatizo Bongo nyingi zinazouzwa ni za Wachina ama za muhindi Alibaba,last time nikiwa Bongo nilishangaa kukuta kwamba Prison Break imefika Season 6 wakati mi ndo kwanza nilitoka kumalizia kuiangalia season 3 na season 4 ndo kwanza tulikuwa tunaisikilizia itoke,hata season 4 ilivyotoka jamaa waliigawanya kisha wakaanza kuuza season 7 na 8 wabongo ukiwaambia mbona ndo kwanz aseason 4 imetoka walikuwa wabishi hao kama nini

Bongo ni ngumu sana kuzipata za ukweli mkuu,binafsi ninazo season 1 mpaka 7 za ukweli(ziko complete) ambazo nimezidownload kwenye net(check ur PM) na tayari nishazinyonya episode 2 za season 8
 
BIG-UP dude!....
nashusha vitu hapa mdogo mdogo
 
Kwa wale wasioweza kuona 24 kwenye luninga unaweza kuangalia kwenye hii website
http://www.ninjavideo.net/

Geoff, Redemption ilitolewa ili kubridge the gap kati ya season six na seven. Sababu kubwa ilikuwa ni mgomo wa Writers Guild of America
 
Kwa wale wasioweza kuona 24 kwenye luninga unaweza kuangalia kwenye hii website
http://www.ninjavideo.net/

Geoff, Redemption ilitolewa ili kubridge the gap kati ya season six na seven. Sababu kubwa ilikuwa ni mgomo wa Writers Guild of America


Eglypz...yaani i am so looking forward kwa tonite aisee! yaani na jana ile 2 hours still niliona kama muda mfupi vile...24 is my favorite show of all..yeah this lazima itakuwa last season since jack bauer si umeona anataka kwenda LA kuishi na mtoto wake i knew ndiyo inaishia....Ni kama Prison break nilijua Scofield akifa tuu basi season imkwisha....

yule director wa CTU ameni- dissapoint sana jana aisee ni mbishi kupita kiasi...yaani akakazana kumuuliza maswali wrong person...Jackie bauer anamwambia lakini haelewi kabisa ila nimependa pale bauer alivyom-black mail hahahahaha!....
 


Desparate housewives ingia tuu ww.abc.com...utapata new season...
 

Yeah Hastings na Arlo wameshanidisappoint tayari, Ortiz anataka kuwa kama Bauer.
NImetoka kuangalia episode ya tatu muda si mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…