Goeff nadhani mkanganyiko unatoke kwa sabau hizi kitu zipo za aina 2, zetu zile za Zhong Hua na zile za ukweli....zile za ukweli mtiriko wake uko tofauti na za mchina. nilienda kwa wale wanaouza za ukweli kipindi kile seaason 9 feki imetoka nikauliza wakanishangaa!!!
Wakuu, inapatikana online, kwa sisi tusojua tuipeje????
Jamani mie natafuta DESPERATE HOUSEWIVES Season 7.Yeyote anayejua ilipo anielekeze.thanks
Thanks Balantanda.Doh,Season 7 hata haifikiriwi itaanza kuonekana lini na sidhani hata kama wameshaanza kushoot maana sasa hivi wanaonesha Season 6 ambayo ilianza kuoneshwa mwezi September 2009 na kwa sasa ndo kwanza wapo episode ya 13(imeoneshwa jana)
Kama utataka kuidownload(kwa kufuata maelekezo niliyotoa hapo juu) utaipata hapa(seaon 6 lakini): http://www.torrentz.com/search?q=desperate+housewives
Hizo za kiukweli zinapatikana duka gani jamani, I wish ningekuwa na mwendelezo wa hizo za kweli!
BIG-UP dude!....Kama vp unaweza kuzinyonya(episodes) kwa kuzidowload bure hapa http://www.torrentz.com/search?q=24 unachotakiwa kufanya ni kuclick tu hapo kwenye torrent(mfano 24 S08E01) ukishaclick itakupeleka hapa http://www.torrentz.com/6c6871a3034aed9e5666822f416156d72977e757 click mojawapo kati ya hizo(mfano thepratebay) then itakupeleka hapa http://thepiratebay.org/torrent/5288175/24.S08E01.HDTV.XviD-2HD.[VTV].avi baada ya hapa unatakiwa uclick Download this torrent,ukisha click hapo hiyo torrent itaenda moja kwa moja kwenye Bittorrent software ambayo ni maalum kwa ajili ya kudownload torrents za aina yoyote ile(Miziki,movies,images n.k)....
NB;
Ni lazima kwanza udownload na kuinstall Bittorrent software kabla hujaanza kufanya kitu chochote,unaweza kutumia Vuze(http://www.vuze.com/) ama Ares(http://aresgalaxy.sourceforge.net/) au waweza kutumia Bitlord(http://www.soft32.com/download_123574.html)...Ni muda mchache sana unatumika kudownload na kuinstall software hizi na ni free of charge
BIG-UP dude!....
nashusha vitu hapa mdogo mdogo
Kwa wale wasioweza kuona 24 kwenye luninga unaweza kuangalia kwenye hii website
http://www.ninjavideo.net/
Geoff, Redemption ilitolewa ili kubridge the gap kati ya season six na seven. Sababu kubwa ilikuwa ni mgomo wa Writers Guild of America
Doh,Season 7 hata haifikiriwi itaanza kuonekana lini na sidhani hata kama wameshaanza kushoot maana sasa hivi wanaonesha Season 6 ambayo ilianza kuoneshwa mwezi September 2009 na kwa sasa ndo kwanza wapo episode ya 13(imeoneshwa jana)
Kama utataka kuidownload(kwa kufuata maelekezo niliyotoa hapo juu) utaipata hapa(seaon 6 lakini): http://www.torrentz.com/search?q=desperate+housewives
Eglypz...yaani i am so looking forward kwa tonite aisee! yaani na jana ile 2 hours still niliona kama muda mfupi vile...24 is my favorite show of all..yeah this lazima itakuwa last season since jack bauer si umeona anataka kwenda LA kuishi na mtoto wake i knew ndiyo inaishia....Ni kama Prison break nilijua Scofield akifa tuu basi season imkwisha....
yule director wa CTU ameni- dissapoint sana jana aisee ni mbishi kupita kiasi...yaani akakazana kumuuliza maswali wrong person...Jackie bauer anamwambia lakini haelewi kabisa ila nimependa pale bauer alivyom-black mail hahahahaha!....