Hapa hatuongelei issue ya mtu mmoja,unatakiwa uelewe hilo kwanza,tunaongelea tatizo lililopo kwenye jamii kwa ujumla,
Wapo single mother ambao ni matokeo ya waliowazalisha kuyakimbia majukumu yao ya malezi kwa mtoto,
Upo uzi umetumwa juzi hapa,kuna mtu kamzalisha mdada halafu anaenda kumuoa mwanamke mwingine,sasa hapo utamlaumu aje huyo single mother peke yake?
Solution ya hili tatizo ni kuliangalia pande zote mbili na sio kuelekeza lawama upande mmoja,
Matatizo hua hayatatuliwi hivyo,ni lazima ujue chanzo cha tatizo root cause.