Duuhh wa mitaa gani hao namimi nije aisee🫢Single mother wamekuwa wazuri sana, wana upendo wa dhati, hawana kiburi na dharau. Unaweza ukawa na urafiki nao hata kumi na wakakuhudumia fresh tu huku wakiendelea na maisha yao ya uhuru. Hakuna sababu ya kuendelea kuwasema vibaya
Stress za ada na kodi unazijua?Hawakuwa na bundle?
Wamekukomesha leo kijana mdogo😆😆Kitambo nimeshabandika lichapat tayari lipo hewan linaelea.
Najipanga kabla ya masaa 24 kupukutika nitabandika mwingine na huo MD wakienda kuuficha vichochoroni hapo nitaamini tayari mmeshawahonga mbusumbusu hao wakulungwa.Wamekukomesha leo kijana mdogo
Kwishaaa!Njoo mkuu
Kubali umeshindwa mkuu😁Najipanga kabla ya masaa 24 kupukutika nitabandika mwingine na huo MD wakienda kuuficha vichochoroni hapo nitaamini tayari mmeshawahonga mbusumbusu hao wakulungwa.
kukubali kushindwa ni mwiko kwetu sisi wanaume kamili achana na maneno ya wahenga yanayopotosha uma kusema kwamba asiyekubali kushindwa si mshindani.Kubali umeshindwa mkuu
Hakurudi jana hata sijui kwakweli😂
Mkuu,usingle mother husababishwa na nani? Je wanaume hawahusiki katika kuwasababisha hao single mother kuwepo?Tukiacha "matusi" ya humu, usingo maza ni doa sana
Ongea na hawa vichaa wana kazi ya kugeneralize mambo ya kipuuzi tu hawaangalii the other side of the coin!Ukimuona single mother basi ujue pia kua kua Single father pia aliyemkataa huyo mtoto au mzazi mwenzake kwa sababu wanazozijua wao wenyewe,
Mahusiano ni siri ya watu wawili,wakiachana kila mtu atajitahidi kujitetea ili aonekane kua kosa sio lake la kupelekea kuachana au kua na single mother,
Siwezi na sijawahi kumbeza single mother coz sijui sababu hasa zilizopelekea kutokea jambo hilo,
Wapo single mother wenye tabia nzuri na wapo wenye tabia mbaya,pia wapo wanawake ambao sio single mother wenye tabia nzuri na wenye tabia mbaya,
Kua single mother sio tiketi yakuonekana kua wewe ni mbaya kitabia.
Labda tunajiblend ndio tunakuwa na watoto.. watu wana uwezo mfupi sana na hawawazi..Mkuu,usingle mother husababishwa na nani? Je wanaume hawahusiki katika kuwasababisha hao single mother kuwepo?
Tumeona wazazi wakilalamika kua watoto wao hawawasaidii baada ya kufanikiwa,watoto nao hujitetea kua Baba zao waliwatupa walipokua wadogo,mfano issue za Diamond na Baba yake na Ommy Dimpoz na Baba yake.
Wengi wanaongea kama vile hao single mother walijipa mimba wao wenyewe.Ongea na hawa vichaa wana kazi ya kugeneralize mambo ya kipuuzi tu hawaangalii the other side of the coin!
Na mtu mwenye logic that’s the very first thing to ask ur mind, sasa mtu haconnect ulimi wake na ubongo ni kutype tu ndo wanaweza! Hawataki kujua chanzo ni kutusi tu ndio wanaweza, halafu wanajiita GT lol 😆Wengi wanaongea kama vile hao single mother walijipa mimba wao wenyewe.
Tafuta S.M mmoja umuoe mkuu, umpunguzie mzigo.Ukimuona single mother basi ujue pia kua kua Single father pia aliyemkataa huyo mtoto au mzazi mwenzake kwa sababu wanazozijua wao wenyewe,
Mahusiano ni siri ya watu wawili,wakiachana kila mtu atajitahidi kujitetea ili aonekane kua kosa sio lake la kupelekea kuachana au kua na single mother,
Siwezi na sijawahi kumbeza single mother coz sijui sababu hasa zilizopelekea kutokea jambo hilo,
Wapo single mother wenye tabia nzuri na wapo wenye tabia mbaya,pia wapo wanawake ambao sio single mother wenye tabia nzuri na wenye tabia mbaya,
Kua single mother sio tiketi yakuonekana kua wewe ni mbaya kitabia.
Sio lazima aoe, ila kupanikisha wenzenu kisa mnakutana na aina hizo huko mitaani sio freshy! Na huyu kaka kutetea hili kundi sio swala.. acheni kutukana single mamaz!Tafuta S.M mmoja umuoe mkuu, umpunguzie mzigo.