comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,242
- 16,533
Sasa kama top league ndio zinazotoa ushindani wa juu kwanini hiyo isitumike kama factor?🤣🤣🤣🤣 Hii Kali sijawahi kusikia, kumbe kipimo cha kua MCHEZAJI mzuri ni kucheza serie A na premier league 😁😁😁
Nice progress man, keep pushing
Mngefika kwenye penati shootout na mkashinda, hii kauli isingekuwepo licha ya performance kuwa mbovu.View attachment 3634742
Ukweli ni mmoja tu na hakuna kichaka wala kona.
Sasa naona hapa unatoa ushuhuda wa vile wewe ulivyo mbishi.Mngefika kwenye penati shootout na mkashinda, hii kauli isingekuwepo licha ya performance kuwa mbovu.
Mimi simdai kitu.
Labda huyo GOAT wako ili aweze kukaa kwenye uzani sawa na Ronaldo at least akacheze EPL na a-maintain ubora
Akitoka hapo aende Italy kwenye ligi yenye mabeki wagumu aka shine na huko.
Baada ya hapo akachukue na UEFA 3
Hapo tutakuwa sehemu sahihi kufanya comparison.
Ni kwanini watoto wa kiume wakifikisha umri wa utu uzima hutoka kwa baba zao na kwenda kujitegemea, na sio kuishi na baba yao?View attachment 3634906
Ni kwanin wachezaji waliocheza na ronaldo wanapenda sana kumfuata Messi ili watimize ndoto ya kucheza nae na sio ronado??
Maana saizi tunaona excuse zimekuwa nyingiSasa naona hapa unatoa ushuhuda wa vile wewe ulivyo mbishi.
Madhara ya kuwa upande wa RonaldoView attachment 3634906
Ni kwanin wachezaji waliocheza na ronaldo wanapenda sana kumfuata Messi ili watimize ndoto ya kucheza nae na sio ronado??