👃🙏🙏🙏Kwa Rehema za Mwenyezi Mungu tutakuwepo.
Inshalaaah
SawaRacism ilianza hivyo hivyo kwa ku refer vitu vibaya na rangi nyeusi.
Ndio maana leo ukichorewa picha ya shetani lazima awe mweusi.
Pengine ndio sababu nyingine inanipa confidence kutoshabikia Argentina kwasababu ya racism
View attachment 3632938
Kwakweli hasa nyie wanaume wenye ndoa kuna namna mtakua mlipwaya hukoSafari ya kulala kama popo
Half timeMbona shakira haja perform au nimechelewa jamani