mzalendo namba moja
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 755
- 1,394
Binafsi aliniumiza sana, hadi nawaza labda ni kwa sababu timu yake ya taifa ishatoka hivyo anafanya kusudi kutufelisha piaHiki cha leo kiko vizuri.
Tuchel alitukosea sana ile siku.
Tuchel ni ndezi yaani madueke anampiga benchi saka.Hivi hawa simba watatu wangeanzisha hiki kikosi kipindi kile na matokeo bado yangekuwa yale yale tu?
Safi sana mkuu.Rashid tunataka kuuona huu muendelezo pale OT
View attachment 3632314
NalalaSafi sana mkuu.
HongereniSisi 2 tayari