2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kwani hii nusu fainali ya ngapi Argentina anacheza ndani ya miaka hiyo kumi na saba? So hizo mechi zote alizo cheza hakuwahi kukutana na Giant? Hapa hamna Favored ni matokeo ya uwanjani ndio yaliamua akutane na nani.

Tatizo lako unaongozwa na chuki na ndio maana huna mwendelezo unacho kiongea full Contradiction, sasa hao Uzbekistan na DRC wanashika nafasi za ngapi FIFA au hiki kigezo cha Rank tuachane nacho.
 
Sasa hivi ni ngumu kutabiri nani anashinda kwenye hizi hatua zililizobaki, game huwa zinabadilika sana. Mechi ya leo inaisha ndani ya dakika 90
 
Sasa wewe na CBC na mkweli na wameweka habari kamili.Halafu mimi nimekuwekea reputable source, wewe unaleta story za vijiweni.

Sasa hapo kosa liko wapi? Okay kwenye kanuni za FIFA Messi alivyo react anatakiwa kuadhibiwa kwa kanuni gani.
Kwa hiyo unavyodhani wewe unahisi habari iliyowekwa na CBC inapingana na hoja yangu?
 
Swali hujajibu, umejitengenezea swali ambalo umeona ni rahisi halafu ndio umelijibu.

Mimi sijahoji kama Argentina hajawahi cheza na Giant kwenye hiyo miaka 17.

Hoja yangu imelenga utetezi wako wa kwamba Argentina anakutana na timu dhaifu kwasababu inanufaika kupitia matunda ya kuongoza kundi.

Ndio maana nikahoji, katika historia ya miaka 17 ya kombe la dunia ni timu gani nyingine ambayo iliwahi kunufaika kwa kuongoza kundi na kufaidi matunda ya kucheza hadi robo fainali bila kukutana na timu ambazo zipo top ten ya ranking?
 
Morocco ni mdudu gani?
Heri nisishabikie kabisa mpira kuliko kushabikia Morocco.

England tuna jambo letu
Rashid mpemba unamjua lakini akiamua?
Saka unamjua lakini?
Bellingham
Ukija kati unamkuta Hendo
Amekosekana tu Babe wangu Trent Alexander Arnold 🔥
 
Kwa hiyo unavyodhani wewe unahisi habari iliyowekwa na CBC inapingana na hoja yangu?
Kuna sehemu CBC wameripoti hiki ulicho kiandika ww?

"Siku 9 kabla ya fainali FIFA na viongozi wa AFA walisaini mkataba wa mabilioni ya fedha yakitumwa kwenye account ambayo sio ya shirikisho la AFA (hii ni big point)"

Unaweza nioneshea kwenye,kama ww ulikiona.
 
Kunafaika vipi, hamna kunufaika ni matokeo ya uwanjani,ndiyo yanayo determined utakutana nani. Argentina kama angekuwa na matokeo mabovu angekuta na Spain round ya pili? au may be angeshika nafasi ya pili kwako ndio ungeamini hapendelewi.

Hoja zako hazieleweki unazungumzia hisia unasahau kinacho tokea uwanjani.
 
Msimu huu England hajakutana na top ten
 
CBC hawajaripoti hiyo quote

Wakati CBC inaandika hiyo habari hakukuwa na nyaraka za siri zilizovuja.

Nyaraka za siri zilikuja kuwa leaked na Romain Molina huyu ndio ameongea mengi ikiwemo sakata la unyanyasaji wa kijinsia ambalo mimi nimeliainisha hapo juu ambalo pia huwezi kulikuta kwenye CBC wala Lanacion ambayo ndio primary source wa hii habari.

Kwa hiyo hoja yangu bado inakuwa ni ya kweli ila haipatikani katika chanzo chako hicho ambacho unakirejea.
 
Kwa hiyo matokeo ya uwanjani ndio yameanza kwa mara ya kwanza kuonekana msimu huu?

Kivipi katika miaka 17 kusiwe na scenario kama hii ya timu moja kufika nusu fainali ikiwa haijacheza na timu kubwa kwenye top ten?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…