T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,787
- 46,655
Amka toka usingizini mkuuIla France wanaweza fanya maajabu kama Argentina Vs Egypt dk za mwisho wakakuweka Goli mbili mfululiza wakenda matuta msibeze sana jamani ๐คฃ๐คฃ
Aaaaah!..huo ni ugonjwa wa timu za Africa.. ๐๐Mida kama hii senegal alikuwa anauliza vipi mazee nijivunje au nimalize gem?
Je ikitokea wameingia final na Argentina? Spain watatoboa ?England alifungwa na Spain Euro fainal same kwa ufaransa.
Hakuna kitu England itamfanya Spain.
Bingwa Spain naendelea kushikilia msimamo wangu.
Ndio 3 Argentina anafungwa kesho.Duh!.. wajukuu wa Charles wanatinga fainali kesho?...
Au hizo sio kama timu za Africa ๐คฃAmka toka usingizini mkuu
Haiishi mpaka iisheIla France wanaweza fanya maajabu kama Argentina Vs Egypt dk za mwisho wakakuweka Goli mbili mfululiza wakenda matuta msibeze sana jamani ๐คฃ๐คฃ
Haiishi mpaka iisheIla France wanaweza fanya maajabu kama Argentina Vs Egypt dk za mwisho wakakuweka Goli mbili mfululiza wakenda matuta msibeze sana jamani ๐คฃ๐คฃ
Uzuri bado wana miaka mingi ya kucheza hasa Yamal huenda aka-focus huko mbeleniMabadiliko yanaonekana mapema, hawa madogo wamekuwa overrated sana
Tatizo tunahesabia pesa mfukoni bwasheePedro Porro ni wakati sahihi kuja team kubwa kama Man Utd
Argentina na Ufaransa watacheza mshindi wa tatu kesho Uingereza anashindaJe ikitokea wameingia final na Argentina? Spain watatoboa ?
Mbona ipo wazi toka dakika ya kwanza?Siamini macho yangu nachokiona
Saba tu , me nilijua watapelekwa 120 ๐คฃDakika 7 za nyongeza
Wajukuu wa Charles wakitinga fainali kelele zitakuwa nyingi kuanzia nje ya uwanja mpaka ndani ..Ndio 3 Argentina anafungwa kesho.
Na huu ndio ukweli nina imani labda baada ya miaka 50-100 atakuja kutokea mchezaj wa kuvunja rekodi ya Messi na Ronaldo.Eti hapa ndo kuna future baloon d or ๐๐๐๐๐๐
Siyo mbape wala lamine wote ni ๐ฎ๐ฎ๐ฎ, sioni watu wakuja kuvaa viatu vya Messi na Ronaldo