T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 13,785
- 46,638
Ngoja tuoneAibu ya nini tena.
Mbona mpira ni dk 90
Goli la mapema sometimes lina haribu mipangoFrance hawajilindi vizuri wana mapuuza. Spain wako more organized wanavyoshambulia kwa haraka.
France wakishika mpira wanazubaa wafanye nini. Kina Upamecano pale nyuma kazi kumpa kipa mpira, hatokuwa na umakini mara zote.
Kashiba mihogo huyo 🤣 Dunia nzima inashuhudia mchezo yeye yuko Ikwiriri anatoa maoni 🤣La kiboya?
Kivipi mzee