2026 FIFA World Cup - Special Thread

Yaani jino limenilazimu kuamka aisee๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Dah pole kamamaa, dawa ya jino wanasema kuliondoa tu.

Miaka ya nyuma kuna uzi humu mwamba mmoja aliupandisha jinsi jino lilivomlaza uvunguni, uzi unachekesha sana japo sio jambo la kucheka ๐Ÿ˜…

Mi nimeamka sababu nasafiri na SGR ya kwanza .
 
Coach wa Argentina anawaambia akina Messi ๐Ÿ waache kuremba wapeleke moto goli la 2 lipatikane kabla ya halftime
 
Dah pole kamamaa, dawa ya jino wanasema kuliondoa tu.

Miaka ya nyuma kuna uzi humu mwamba mmoja aliupandisha jinsi jino lilivomlaza uvunguni, uzi unachekesha sana japo sio jambo la kucheka ๐Ÿ˜…

Mi nimeamka sababu nasafiri na SGR ya kwanza .
Aah ok, safari njema..

Dawa sio kuliondoa jmn, tutaondia mangapi?
5 nimetoa๐Ÿ™Œ๐Ÿ™Œ
Ni vile sijapata tu watu waxuri wa mitishamba sshv wengi feki mpk umpate wa ukweli ni kipengel...๐Ÿ˜ƒ
Nitafanya ile ya kuua mizizi kutoa tena hapana aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ