Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 10,659
- 23,140
Pole.sanaWalivyofunga goli la tatu, almanusura nipasue tv yangu, hakika sijawahi kupata huzuni na hasira toka world cup ianze kama leo
KabisaNdio maana hata ile Penati aliipiga nje tu.
Mechi ya kwanza ya mpira kuumia maumivu makali ni Man U Vs Barca 2010 kama 11 kama sikosei enzi hizo nipo shule ya msingi , napenda Man U kuliko kitu chochote Duniani siku hiyo nilipata tabu sana na ukawa mwanzo wa kumchukia Messi.Dah mkuu usinikumbushe tena nilikua najiandaa kwenda kufanya cesarean section ikabidi nisitishe akafanya rafiki yangu. Aisee niliumia sana.
Kumbe wewe ni mkubwa yaani uliumia mwaka 2010?Mechi ya kwanza ya mpira kuumia maumivu makali ni Man U Vs Barca 2010 kama 11 kama sikosei enzi hizo nipo shule ya msingi , napenda Man U kuliko kitu chochote Duniani siku hiyo nilipata tabu sana na ukawa mwanzo wa kumchukia Messi.
Yanga na Mamelodi sikuamini eti mtu mzima nishindwe kulala kisa maumivu ya mpira dah! maumivu yalidumu kama wiki mbili mpaka nikasahau , tokea siku hiyo mpaka leo kama nimeacha hata kuangalia mechi za Yanga . Mpaka Leo haijalishi Yanga anacheza mechi gani hauwezi kunikuta natoa hela yangu kwenda Banda umiza kucheki na kuifuatilia kama zamani .
Sasa maumivu ya mpira sina kabisa baada ya depression nilipunguza kama sio kuacha kabisa ushabiki , sasa nacheki mechi moja Moja tu au michuano muhimu kama burudani tu na sio kama shabiki kindakindaki wa kuumia kama zamani
Ndio naangalia hp naaona kweli jamaa alikanyaga vby mguuRefa alikuwa Fair hamna kubebwa, mimi nimeangalia current performance ya Colombia na Argentina ,Colombia wapo vizuri . Salah kazingua mwenyewe, Julian alicheza mpira kwanza na ukawa out of control upande wa Salah. Salah kwanza alikuwa na option mapema ya kupiga pasi au krosi anastahili lawama. Lisandro kweli kakanyagwa so ni faulo.
Na nilivoona kama kipa wa Egypt alikuwa anaiskilizia. Na ndio maana aliloose concentration. Lile goal ange concentrate lisingepitaBuild up ya goli la tatu kulikuwa kuna faulu ilichezwa ila refa alipeta ni kama walivyolikataa lile la misri baada ya kutokea rabsha kwenye build up ile refa aliiona ila kwa hii ya Argentina refa alijidai hakuona
Daah mimi mechi ya Barca na Inter mwaka jana nilishikwa na homa kali sana sikulala usiku. Nikaona ipo siku nitakufa bureMechi ya kwanza ya mpira kuumia maumivu makali ni Man U Vs Barca 2010 kama 11 kama sikosei enzi hizo nipo shule ya msingi , napenda Man U kuliko kitu chochote Duniani siku hiyo nilipata tabu sana na ukawa mwanzo wa kumchukia Messi.
Yanga na Mamelodi sikuamini eti mtu mzima nishindwe kulala kisa maumivu ya mpira dah! maumivu yalidumu kama wiki mbili mpaka nikasahau , tokea siku hiyo mpaka leo kama nimeacha hata kuangalia mechi za Yanga . Mpaka Leo haijalishi Yanga anacheza mechi gani hauwezi kunikuta natoa hela yangu kwenda Banda umiza kucheki na kuifuatilia kama zamani .
Sasa maumivu ya mpira sina kabisa baada ya depression nilipunguza kama sio kuacha kabisa ushabiki , sasa nacheki mechi moja Moja tu au michuano muhimu kama burudani tu na sio kama shabiki kindakindaki wa kuumia kama zamani
Mwenyewe sasa hivi nimeangalia vizuri review. Refa wanamlaumu bure wao wenyewe wameshindwa kushikilia bomba.Ndio naangalia hp naaona kweli jamaa alikanyaga vby mguu
nimebishan n wa2 tukio hil
Nmeonekana mjng sn
Hela yng imeniuma snMwenyewe sasa hivi nimeangalia vizuri review. Refa wanamlaumu bure wao wenyewe wameshindwa kushikilia bomba.
Sana tu. Me natamani WC iishe tu...turudi kwenye maisha yetu ya kawaida. Ila haya mambo ya kuumia umia kila siku waweza umwa na pressure na kisukariNimeani mpira ni chanzo cha depression kama usipokua makini.
Hamia Argentina,huku kila siku ni sikukuu tu.Sana tu. Me natamani WC iishe tu...turudi kwenye maisha yetu ya kawaida. Ila haya mambo ya kuumia umia kila siku waweza umwa na pressure na kisukari
Pole.sana
Ilikuwa lazima iwe hivo. Match Ilikuwa FIFA vs Egypt. Hio haitaki tochi
HahahahaNdio maana hata ile Penati aliipiga nje tu.
Mkuu pole.Mechi ya kwanza ya mpira kuumia maumivu makali ni Man U Vs Barca 2010 kama 11 kama sikosei enzi hizo nipo shule ya msingi , napenda Man U kuliko kitu chochote Duniani siku hiyo nilipata tabu sana na ukawa mwanzo wa kumchukia Messi.
Yanga na Mamelodi sikuamini eti mtu mzima nishindwe kulala kisa maumivu ya mpira dah! maumivu yalidumu kama wiki mbili mpaka nikasahau , tokea siku hiyo mpaka leo kama nimeacha hata kuangalia mechi za Yanga . Mpaka Leo haijalishi Yanga anacheza mechi gani hauwezi kunikuta natoa hela yangu kwenda Banda umiza kucheki na kuifuatilia kama zamani .
Sasa maumivu ya mpira sina kabisa baada ya depression nilipunguza kama sio kuacha kabisa ushabiki , sasa nacheki mechi moja Moja tu au michuano muhimu kama burudani tu na sio kama shabiki kindakindaki wa kuumia kama zamani