2026 FIFA World Cup - Special Thread

Spain walitakiwa kuitumia hiyo opportunity kufunga.

Mbona bado nyau nyau?

Mkakati mbovu, halafu mpinzani anashindwa kuona nafasi ya kunufaika kupitia huo udhaifu, hapo nani ni dhaifu?

Au tuseme Spain hawajaweza kuona hiki ulichokiona?
Kwa akili yako hapa kwa chini chini ukute umeona namsema Ronaldo. Anaweza akafa yule ni mtu, sio timu. Unapeta ushabiki lialia wa mchezaji kwenye maslahi ya timu.

Uko obsessed nae hata mpira huoni kinachoendelea. Possession, shots on target, possible goals zote Spain inaonekana. Portugal haikai na mpira, haipangi mashambulizi ingawa inalinda vizuri.
 
Yote naona
 
Adris de mbusii toka hapo kwa dada ako shenziii🤣🤣
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…