2026 FIFA World Cup - Special Thread

USA alikuwa rahisi kumfunga kwasababu hakuwa tishio hivyo Paraguay hakuwa na mikakati ya kuzuia sana.

France imecheza fainali, na pia ndio timu inayopewa nafasi ya juu kuchukua huu ubingwa lakini kama haitoshi performance yake imekuwa ni kubwa sana.
Ukweli ulio wazi US alikua Bora, Leo France sio bora
 
USA alikuwa rahisi kumfunga kwasababu hakuwa tishio hivyo Paraguay hakuwa na mikakati ya kuzuia sana.

France imecheza fainali, na pia ndio timu inayopewa nafasi ya juu kuchukua huu ubingwa lakini kama haitoshi performance yake imekuwa ni kubwa sana.
Kwa perfomance waliyoionyesha France , kila timu inaiogopa sana hivyo wanatumia mbinu na kujituma zaidi...
 
Madhara ya kupaki basi ndio haya na muda mchache uliopita nimetoka kuelezea consequences za kupaki Irizar.

Wachezaji wanakuwa trained mazoezini sio kwa mbinu za kucheza mpira, kuna mbinu ya kunufaika na faulo ambayo ikatoa advantage kwa timu yako.

Mchezaji akushafika kwenye box anakuwa weightless ukimgusa tu yupo chini. VAR inapima mgusano haipimi effect ya mgusano kama ilikuwa ni hard au soft.
 
Full time Paranawee 0-1 France

Wakamaria leo mtatusamehe leo hakuna GG wala over 1.5

Nyie wenyewe mashahidi mmejonea ile Yutong kule mbele na kufanya iwe ngumu kupita.

Goodbye and good riddance Paraguay

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…