2026 FIFA World Cup - Special Thread

Ngozi nyeusi tuna laaana..
Mzuka wa World cup umekata kabisa..


Mkuu hata Ufaransa ni ngozi nyeusi huwaoni wanavyo kiwasha!!
Na kwa kifupi kwenye fainali za mwaka huu nchi nyingi zimeongea idadi ya watu weusi kwenye vikosi vyao.
Hata zile nchi zilizosifika kwa ubaguzi wamelazimika kuongeza idadi ya watu weusi ili kupata matokeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…