2026 FIFA World Cup - Special Thread

Nilikuwa naangalia highlights ya mechi ya Argentina Vs Cape Verde nikakutana na hili tukio.

Hili tukio likanifanya nikumbuke criticism dhidi ya Ronaldo.

Ronaldo eneo hili akikosa goli anaitwa Mzee, hana kiwango, amechoka, hana talent, anaigharimu timu, mbinafsi.

Lakini Messi anaposhindwa kufunga nafasi ya wazi kama hii unakuta sifa anapewa kipa au mpira ukienda off target utasikia excuse za kwamba hana siku nzuri na vitu kama hivyo.

Hypocrisy is when the same incident happens, yet different opinions are provided.

Bado naendelea kuangalia.
 
With this bald guy, Argentina have so far played against

ALGERIA
AUSTRIA
JORDAN
CAPE VERDE

And now they're going to face Egypt.

Can someone remind me, which kind of tournament Argentina are playing in?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…