2026 FIFA World Cup - Special Thread

Mkuu Argentina hatoboi. Hua sikoseagi aisee. My guts are always right
Hawezi fungwa wakati hawashambulii. Sahau hizo ndoto, kama timu haishambulii ni ama adui awe hajui kushambulia basi asifunge au iwe na defense line nzuri.

Sasa Argentina ina wafungaji na bado mabeki wa CV wamechoka na kipa wao, na goli limetokana na uchovu huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…