2026 FIFA World Cup - Special Thread

Mtangazaji wa azam alimnanga sana
Si wamezoea makocha Wamatumbi wanafanya calculations kwa macho, wanakariri maamuzi, wanafanya sub uchwara.

Kocha wa Kiafrika nao mashabiki, wanasimama wanatazama mpira, wanashangilia vibaya mno kama wamebeti. Kocha wa duniani wanashangilia kidogo, wanajadili mbinu na team yaani sio muda wote macho kodi uwanjani, wanasoma mchezo na kuandika pembeni baadae wanatumia notes kufanya subs, maamuzi, kubadili pace, kupangua formation.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ