2026 FIFA World Cup - Special Thread

Muda wa kubishana Mkuu haupo tena.Amefunga Goli na kawapa timu yake nguvu.Tuendelee kumbeza
Yeye ni striker, sio kipa. Kwahiyo kufunga sio kitu cha ajabu. Angedaka hapo ndio ungekuwa mjadala. Hata Sarr kafunga, Diarra kafunga, Tielemans kafunga.

Ila bado Lukaku kwa sasa sioni kama ni mchezaji tishio akikutana na team zisizo za third world countries.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…