wameshafuzu, wakati ufaransa wanaongoza kwa idadi ya magoli! no need yakuuana.Kwanini?
Hiyo hapo ni ratiba ya knockout stage.Hao wote washavuka so labda iwe ni mechi ya kugombea nafasi ya kwanza tu
hawatafungana.Sio wepesi watatoa ushindani mzuri ila siwaoni wakimfunga mfaransa
Binafsi sioni mechi yeyote ambayo ufaransa atacheza ikamaliizika bila golihawatafungana.
walipagawa sanaTunisia bwana....sasa huku qualification hakuruhusu bao...kaenda kwa wanaojua boli watu wanajipigia tuu.
Wale wote walioshindwa kufunga dhidi ya tunisia huku africa wajitathmini vibaya mnooooo maana ni mkoromboko kweli kweli
Kila mtu kajipigia bao zakutosha......hawa walikuwa wabovu toka afcon.
wameshanganyikiwa.Tunisia bwana....sasa huku qualification hakuruhusu bao...kaenda kwa wanaojua boli watu wanajipigia tuu.
Wale wote walioshindwa kufunga dhidi ya tunisia huku africa wajitathmini vibaya mnooooo maana ni mkoromboko kweli kweli
Wale wabovu tuu hamna kituwameshanganyikiwa.
Likienda kwa Mbappe sio mbaya. Lipo mikono salama.It's official, France wanachukua kombe hakuna timu ya kuwazuia.
It's official, Ronaldo atastaafu bila kuwa na kombe la dunia
Imeisha hiyoWe still have time to wait oh
Kikubwa ronado atoke patupuLikienda kwa Mbappe sio mbaya. Lipo mikono salama.
Hata akikosa bado anabaki kuwa GOATKikubwa ronado atoke patupu
Mkuu kila mtu alikua anasema hivo hivo kuhusu Bayern mwaka huu, ila mm niliwabisha hawabebi uefa. Nakuambia hapa hafiki Final. Atabondwa na timu ya kawaida tu. Hua sishabikii kitu kinachopendwa na wengi ever!It's official, France wanachukua kombe hakuna timu ya kuwazuia.
It's official, Ronaldo atastaafu bila kuwa na kombe la dunia