2026 FIFA World Cup - Special Thread

Kw
Kwamba huyu dogo ni overated!?

Ubongo wako una cancer or itakuwa haujawahi kucheza mpira ni bendera fuata upepo sio Bure 🤣🤣
Yes he's overrated

Sipingi kuwa hana ubora ila kuna namna anakuzwa.

Labda nikuulize kati ya Raphinha na Lamine Yamal ni nani bora?

Mechi nyingi ambazo Raphinha amekosekana ndio mechi ambazo Lamine Yamal alikuwa na poor performance.

Lakini bado eti kwenye Ballon Dor alishika nafasi ya pili mbele ya Raphinha, na Raphinha walimtupa kwenye nafasi ya 7 huko (kama kumbukumbu zangu zipo sahihi)
 
moja ya tofauti kubwa niliyo iona ukilinganisha timu vibonde kwenye kombe la dunia na timu vibonde kwenye afcon ni kwamba kwenye world cup timu vibonde wana uwezo wa kufanya counter attacks hatarishi na zenye kuzaa magoli. kwenye afcon timu vibonde walikuwa wanapaki basi lakini counter attacks zao zilikuwa but. kwa kuongezea zaidi counter attacks zenye mafanikio kwenye afcon zilifanywa na zile timu kubwa; senegal alikuwa kinara wa hili ivory coast pia.
 
Ujumbe mzito sana huu
 
Sahihi kabisa.
Lakini ile mechi ya DRC vs Ureno Wakongo walikuwa na uwezo wa kufanya attack na kushinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…