Ligi ya Uingereza ndio ligi bora dunianiEpl
Uingereza inatajwa kuharibu utamaduni wa soka la Brazil kwa kubadili vipaji vyenye asili ya ubunifu wa Joga Bonito kuwa wachezaji wanaocheza kwa misingi ya mifumo na nguvu. Hata hivyo, wengine wanaona Ligi Kuu ya Uingereza imewasaidia Wabrazili kupata uzoefu na mbinu ngumu zinazoinua kiwango cha timu yao ya taifa.
Kabisa mkuuUkiangalia wanyamwezi walioko uwanjani ukiangalia uwanja upo see breeze
kwa nje wanyamwezi Kuna tv kubwa wanakula bia
malaya wananukia Safi 🤣
kwa juu midege inakatiza
ndo utagundua USA ni ndoto ya kila binadam kukanyaga
pmj na visa restrictions lkn watu wamekubali kuweka pesa ili watimize ndoto zao
Land of free❣️
Ha ha ha Ndio maana Australia wameona lolote na liwe, Full kutembeza vipepsi tuRefa anawabeba USA wazi wazi.
This football is Not Fair
Refa kiazi kweli kweli...
Kafanyiwa sub? 😂Refa kiazi kweli kweli...
Natamani game la Brazil ila muda mchafu.Amebaki anamalizia