adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 4,588
- 7,769
Kupanic wapi nini hajui kuhusu mpira yule😀😀hawana utulivu ....kuna Jitu linataka hattrick huku😀😀Yule miyeyusho, upo karibu na goal lkn unachagua kutungua mnazi kweliii… au alipanick kuona nafasi hii hapa akabutua tu
Au hajui kuchezea miguu yote😁Kupanic wapi nini hajui kuhusu mpira yule😀😀hawana utulivu ....kuna Jitu linataka hattrick huku😀😀
Pole jamani 😁Balaa! Nimeingia toilet narudi ubao wa matokeo unaumiza
Watapigwa tena wakiendelea na utoto wao..kule ni WC watu wanakuja mara 1 kwa miaka 4..so ukipatikana unakaangwa mchana mchanaAu hajui kuchezea miguu yote😁
Pole yao.. watajaribu next time… ataipata ni suala la kuchangamka tu 🔥
Pole MkuuBalaa! Nimeingia toilet narudi ubao wa matokeo unaumiza
Bora umeliona hilo..Senegal jana magoli mawili ya waziIla kushabikia timu za Afrika yataka moyo sana.
Ni kama vile wachezaji wa Kiafrika IQ yao ya soka ni ndogo.
Nchi zingine wakipata fursa ya kufunga magoli, wanafunga magoli.
Timu za Kiafrika zikipata fursa za kufunga magoli, zinafanya madudu tu.
Mkuu poleZidane anashuhudia kijana wake akiazibiwa
Mtu anassist pass mwenyewe na kufunga mwenyewe mtu gani huyo..wamtoe bwana weee atoleweMessiiiiiii
Algebra hawatoboi tena hapa