Ni mojawapo ya madhara ya kuona faida pekee bila kuangalia hasara.Kweli wenzetu mpira upo kwenye DNA
Haishangazi kuwaza kwanini Mugabe alikuwa tayari kupeleka mabinti wa nchi yake Brazil ili wakapewe mimba warudi Afrika wazae watoto ili kizazi kijacho kuwe na vipaji kama Brazil
Lakini hapa ni kama mzee aliwaza kwa kuangalia angle moja. Aliona nafasi ya mwanaume kurithisha vinasaba kwa mtoto.
Hakuwaza maybe ingewezekana pia mtoto angechukua tabia za mama badala ya kuwa mchezaji mpira kama alivyotarajia, mtoto angekuja kuwa mwizi?
Those guys tutawasema saana but wanajua wanacho kitafuta uwanjaniTukiweka ushabiki pembeni, Morocco wapo serious sana
πππ, hii team ilikuwa haitabiriki, wengi watakuwa waliweka over 1.5Kwa wale wadau wa betting poleni sana na mlale unono kila kazi na changamoto zake π΄
Hawaamini macho yao πNaona walokole na wakatoliki wa tukuyu roho zinawauma kuliko maafisa ubashir
Wamefanya nianze kuwapenda sasa nitakuwa team Morocco rasmiπͺMorroco wameoonesha maturity na nidhamu ya hali ya juu
Wewe kuwa tu ila usije ukaanza kutukataa wa afrika, jamaa wana composure, utulivu, decisions za haraka na makini. Yaani wametulia saanaWamefanya nianze kuwapenda sasa nitakuwa team Morocco rasmiπͺ
Spain mnawa hype sana wazee yani sijui kwakuwa yupo Lamine au nini ila ngoja mi nitakuwa na hate watch siku hiyoSio Vinni tu Hawa Brazil mpira hamna kabisa, wanacheza mpira wa kizamani sana.
Anceloti hana mbinu yoyote na mpira wake wa mbio ngoja huko mbeleni wakutane na madogo janja Spain uone watakavyopigiwa ball.
Yani Vini ukimtoa kwenye moment ya goli sioni thamani yake humu
Kalivyo poteza pasi kakaingiwa wazimu kakaanza heka heka za kujibidiisha ili ku retrieve mpira lakini wapi.Mvivu sana hapendi kupress ila Morocco nao wazuri.
Hata Morocco ni waafrika mkuu....sisi sote ni waafrika tu, japo rangi tofauti.Wewe kuwa tu ila usije ukaanza kutukataa wa afrika, jamaa wana composure, utulivu, decisions za haraka na makini. Yaani wametulia saana
Najua ila si una kumbuka last time walipofika robo walitangaza kuwa wao sio wa afrika?Hata Morocco ni waafrika mkuu....sisi sote ni waafrika tu, japo rangi tofauti.
Kuna haja ya Kubadilisha aina ya kazi mkuu, maana πππππ.Hatimaye nimetoboa buana. Nimeangalia hadi mwisho. Sasa nikalale masaa mawili ili nikasinzie vizuri kazini... kazi zingine jau, hamna cha jumamosi wala jumapili ππ
Kalivyo poteza pasi kakaingiwa wazimu kakaanza heka heka za kujibidiisha ili ku retrieve mpira lakini wapi.
Ubinafsi unekajaa sana. Nataka nione namna Morinho ataweza kui fix hii tabia pale Bernabeu
Nakumbuka mkuu wao wako proud sana na uarabu wao, so sometimes wanajisahau, tuwasamehe bure....Najua ila si una kumbuka last time walipofika robo walitangaza kuwa wao sio wa afrika?
Sio Yamal mkuu ni mpira wanaopiga zile pass ukichanganya na makeke ya Yamal ndo kabisa na huku pembeni umkute olmo ni π₯.Nakumbuka EURO sikuangalia sana niliangalia Ile game yao vs Germany tena dakika ya 90 ball lililokuwa linapigwq mule ni kama orgasm πSpain mnawa hype sana wazee yani sijui kwakuwa yupo Lamine au nini ila ngoja mi nitakuwa na hate watch siku hiyo
Morroco sio waafrika , Africa ni bara la giza na hakuna team yoyote ya Africa itafika mbaliHata Morocco ni waafrika mkuu....sisi sote ni waafrika tu, japo rangi tofauti.
πππ yaani hadi hii world cup iishe ntakuwa natembea huku nasinzia....imagine saivi nipo macho na saa mbili kamili asubuhi natakiwa niwe kibaruaniπKuna haja ya Kubadilisha aina ya kazi mkuu, maana πππππ.