Mama alipokea kijiti ch mwendazake baada ya mauti kumkuta
Awamu hii inaisha 2025 maana yake utawala wa awam iliyoisha
Mimi nadhan mama kama anataka kuwa raisi 2025-2030 basi anapaswa mwaka 2025 achukue form ndani ya chama agombee na wengine waruhusiwe kuchukua form wapambane ili akishinda ndo awe mgombea wa chama
Mama nachoona anataka mtelezo(ganda la ndizi) hataki kupitia mchakato halisi wa chama ambao kila aliyekuwa raisi alichukua form na kupambana na wana CCM wenzakd akashinda na akagombea
Hii miaka mitatu aliyokuwa raisi ni haki yake sababu katiba ilisema ivyo ila 2025 anapaswa kupambana ndani ya chama then aende uchaguzi mkuu
Nachokiona ni kama mama anaogopa kupambana ndani ya chama ndo maana anajarb kuondoa wale anaoona ni hatari kwake mapema kitu ambacho sio sahihi
Kwa maana nyepesi mama hataki competition yoyote ile jambo ambalo sio sahihi
Awamu hii inaisha 2025 maana yake utawala wa awam iliyoisha
Mimi nadhan mama kama anataka kuwa raisi 2025-2030 basi anapaswa mwaka 2025 achukue form ndani ya chama agombee na wengine waruhusiwe kuchukua form wapambane ili akishinda ndo awe mgombea wa chama
Mama nachoona anataka mtelezo(ganda la ndizi) hataki kupitia mchakato halisi wa chama ambao kila aliyekuwa raisi alichukua form na kupambana na wana CCM wenzakd akashinda na akagombea
Hii miaka mitatu aliyokuwa raisi ni haki yake sababu katiba ilisema ivyo ila 2025 anapaswa kupambana ndani ya chama then aende uchaguzi mkuu
Nachokiona ni kama mama anaogopa kupambana ndani ya chama ndo maana anajarb kuondoa wale anaoona ni hatari kwake mapema kitu ambacho sio sahihi
Kwa maana nyepesi mama hataki competition yoyote ile jambo ambalo sio sahihi